Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
China, Urusi, Japan wanatumia Kingereza au lugha zao kuendesha serikali?
Aaaaah huko SADC watatumia kiswahili eeeeh?
China, Urusi, Japan wanatumia Kingereza au lugha zao kuendesha serikali?
Wadau msimlaumu spika au naibu wake kwa kumwondoa sophia kujieleza wakati wa kuomba kura za sadc huyu mama hajui kiingereza kabisa kwa hiyo chama kimelinda aibu""funika kombe mwanaharamu apite""
Aaaaah huko SADC watatumia kiswahili eeeeh?
Ooooh!!!!!! Sasa ilikuwaje akapewa uwaziri???
Wadau msimlaumu spika au naibu wake kwa kumwondoa sophia kujieleza wakati wa kuomba kura za sadc huyu mama hajui kiingereza kabisa kwa hiyo chama kimelinda aibu""funika kombe mwanaharamu apite""
Mi nasema shukuruni akuongea angeongea angetoa neno ambalo bunge zima mngehisi amewatukana kumbe ajui maanake ...mmh hizi sheria lazima wazijue mwak huu kama walikuwa wakizichezea nasema mwanasheria kama uliwekwa kwa ajili ya schoolmates sasa utalijua jiji kazi imeanza nimesikitika na upupu ulioanza nao kwa kukiri kosa na kusema akuna mabadiliko
dem n u
China, Urusi, Japan wanatumia Kingereza au lugha zao kuendesha serikali?
Nadhani wangecheka wale tu wanaokijua kiingereza, kwani wasiokijua wasingeweza kufahamu kama amekosea au amepatia. Yule mbunge wa CCM Sumbawanga mjini naamini haelewi hata kinachoendelea mjengoni.... ili kuondoa aibu ni bora asipite mbele pale mjengoni kujieleza. vinginevyo, bunge lingerindima kwa kicheko kama siyo masikitiko ....
Naona wengi wanatetea kiswahili, hii ni kweli kiswahili ni lugha ya taifa na wengi wetu ni lugha ya kwanza. Tatizo ni kuwa anakoenda huyo mama wanatumia Ngeli kama only lugha ya mawasiliano, sasa itakuwaje? Nadhani hii ndo hoja. Mwenye cv ya huyu mama aipachike hapa!
China, Urusi, Japan wanatumia Kingereza au lugha zao kuendesha serikali?
Nadhani wangecheka wale tu wanaokijua kiingereza, kwani wasiokijua wasingeweza kufahamu kama amekosea au amepatia. Yule mbunge wa CCM Sumbawanga mjini naamini haelewi hata kinachoendelea mjengoni.
Well said!!
China, Urusi, Japan wanatumia Kingereza au lugha zao kuendesha serikali?
China, Urusi, Japan wanatumia Kingereza au lugha zao kuendesha serikali?