Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 119,289
- 222,351
Anachukua nafasi ya Shaka Hamdu
Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla.
===
Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kimemteua Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema kuchukua ya Shaka Hamdu Shaka
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, Mohamed Said Mohamed Dimwa ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar
---
Halmashauri Kuu Maalum ya CCM Taifa Leo imekutana na kufanya UTEUZI wa viongozi mbalimbali kama ifuatavyo,
====
1. Daniel Chongolo - Katibu Mkuu
2. Anamringi Macha - Naibu Katibu Mkuu Bara
3. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Said Mohamed Dimwa
4. Ndugu Sophia Mjema
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi
5. Dkt. Frank Haule
Katibu wa Uchumi na Fedha
6. Mbarouk Nassor Mbarouk
Mkuu wa Idara ya Kimataifa
7. Issa Haji Gavu
Idara ya Organaizeisheni
----
Makada wengine waliowahi kuwa Makatibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi soma
Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla.
===
Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kimemteua Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema kuchukua ya Shaka Hamdu Shaka
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, Mohamed Said Mohamed Dimwa ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar
---
Halmashauri Kuu Maalum ya CCM Taifa Leo imekutana na kufanya UTEUZI wa viongozi mbalimbali kama ifuatavyo,
====
1. Daniel Chongolo - Katibu Mkuu
2. Anamringi Macha - Naibu Katibu Mkuu Bara
3. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Said Mohamed Dimwa
4. Ndugu Sophia Mjema
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi
5. Dkt. Frank Haule
Katibu wa Uchumi na Fedha
6. Mbarouk Nassor Mbarouk
Mkuu wa Idara ya Kimataifa
7. Issa Haji Gavu
Idara ya Organaizeisheni
----
Makada wengine waliowahi kuwa Makatibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi soma
- Mzee Kingunge Ngombale–Mwiru
- Omary Mapuri aliyeteuliwa kuwa Mjumbe wa tume ya Uchaguzi amewahi kuwa Katibu Mwenezi CCM
- John Mgesa
- Jackson Msome - Katibu Mwenezi
- John Chiligati
- Aggrey Mwanri
- Christopher Ole Sendeka
- Nape Nnauye
- Humphrey Polepole ateuliwa kuwa Katibu itikadi na Mwenezi
- Shaka Hamidu Shaka, mrithi wa Polepole nafasi ya Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM
- Sophia Mjema ateuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM
- Paul Makonda ateuliwa na CCM kuwa Katibu Itikadi na Uenezi Taifa
- Amos Makalla ateuliwa kuwa Katibu Itikadi na Uenezi wa CCM