Sophia Mjema ateuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
119,289
222,351
Anachukua nafasi ya Shaka Hamdu

Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla.

===

Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kimemteua Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema kuchukua ya Shaka Hamdu Shaka

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, Mohamed Said Mohamed Dimwa ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar

---

Halmashauri Kuu Maalum ya CCM Taifa Leo imekutana na kufanya UTEUZI wa viongozi mbalimbali kama ifuatavyo,

====
1. Daniel Chongolo - Katibu Mkuu

2. Anamringi Macha - Naibu Katibu Mkuu Bara

3. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Said Mohamed Dimwa

4. Ndugu Sophia Mjema
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi

5. Dkt. Frank Haule
Katibu wa Uchumi na Fedha

6. Mbarouk Nassor Mbarouk
Mkuu wa Idara ya Kimataifa

7. Issa Haji Gavu
Idara ya Organaizeisheni

----

Makada wengine waliowahi kuwa Makatibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi soma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom