snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,216
- 1,657
- Thread starter
- #121
Hahahaa. Pole Mkuu. Mimi ilikua poa tu sema mwalimu wa history alikua mbovu akanifanya na somo yake lisiwe la kuvutia.
Mi Teacher Aliyekuwa anatufundisha Alikuwa Wakike !
Afu Aliwapenda sana darasa la Arts !
Afu akija kuingia darasa letu la Science alikuwa anataka tusome History kama tunavyosoma Physics , Biology na Chemistry !
Yani tuwe busy tu na history
Notes za history wengi tulikuwa tunaandikiwa na madem ! Wa Arts
akaja kuzingua tukalipotezea tu somo lenyewe ! Nilichomoka na C
Maisha Mtelezo