Somo Ambalo haukulipenda Kabisa, ulilisoma basi tu ilikubidi!

hivi nyie history kilichokuwa kinawashinda nini mbona mambo yalikuwa mchekela sana.yaani ukimpata mwl mzuri akianza kukuhadathia mpk unasahau kama ulikuwa darasani full kuenjoy


Daaa daaa mkuu !

Kuanza kukalili miaka ileee !
Machief walee aaaaah !

Kazi mkuu !
 
HISTORY. Somo hili lilikuwa ni janga mno. Hata nijieleze vp mwisho wa siku kilio. Ikafika mda nikaomba tuisheni kwa mwalimu huaika lakini lbalaa na ndilo lililonipa dada csee.
 
pole sana mkuu

Nakumbuka kuna jamaa yangu yuko pale NIT !

Kipindi yupo o-level tiacher wa physics alikuwa magumashi !
Ka solve swali mara ya kwanza ! Watu ''hatujaelewa''

aka solve mara ya pili akapata jibu lingine akauliza tena mme elewa

jamaa akajibu ''ameelewa Mbwa''
daa jama alitimuliwa science nakwenda arts !

Du umenikumbusha usagara na mwl rwechungura 70's.
 
mimi physics kaaaah cjui wave cjui light cjui nini nilikua naona sasa topic zote mtu akimaliza c anaweza kwenda kuishi porini akaanzisha dunia yake nililiacha form one nilimsusia mwalim mtihani nilikua najibu tu multipe choic yani hata defn ya physics nilikiua cjui kabisa khaaaaargh.
 
physics sikuwahi ielewa mpaka namaliza fm 4
Pole,nadhani ulikutana mwalimu kiraza,unaamanisha hata hizi facts hakukwambia
1.Mwanga unasafiri kwa kasi zaidi kuliko sauti,mfano radi ikipiga unaanza mwanga then ngurumo kwa hiyo ukisikia ngurumo ya radi haijakupia au sikuhizi mnasema 'ukisikia paa ujue imekukosa unazani hizo ni principle za art?
2.Laws of motion;ukiwa umekaa ndani ya gari iko speed ikifunga break ghafula utamove forward (kiwili wili chako ) ila miguu itaendelea kuwa ilipo"
3."A body will continue to be in a continuous motion unless there is an external force applied to it",mwalimu wako hakuweza hata kukwambia ukiwa ndani ya gari huwezi kulisukuma likaenda mpaka uwe nje coz your part of it?
4.Teacher hakuweza hata kukufundisha kwamba mwanga unasafiri kwenye mstari ulionyooka hii ndiyo sababu huwezi kumwona mtu aliye jificha kwenye kona say ya nyumba ila akiongea unamsikia kwa sababu sauti haisafiri kwenye mstari ulionyooka?
5.Je Eurika(meaning "I have found it"),teacher wako hakukupa story kwamba jamaa aliyegundua eurika can alikimbia nje utupu kwa furaha ya kujua solution ya swali la mfalme?
6.Kale kamsemo ka kiswahili 'unashangaa nini,kashange ferry shilingi inazama meli inaelea" hamkusoma principle of floatation?Kwamba ili kitu kielee kwenye maji inabidi density yake iwe ndogo kuliko ya maji ambayo ni 1(density=mass/volume),je hata hakuweza kukupa mifano ya kwenye real life kwa mfano ile mimeli ya kijeshi nimeisahau jina inaweza ikazama kwenye maji na baadaye kuibuka kwamba ili izame kuna maji yanaingia sehemu maalum ili density iwe kubwa kuliko ya maji na likitaka kuibuka maji yanatolewa ?
7.Teacher hakuweza hata kukupa huu mfano unapokuwa kwenye barabara ya rami iliyonyoka mchana mbele unaweza ona kama kidimbwi cha maji?
Pole sana ,rudi ukajifunze au jisomee for leisure you missed a lot of real life issues.I always thank God for the teacher I met and the book I had time to read.
 
physics sikuwahi ielewa mpaka namaliza fm 4


Kweli tunatofautiana mkuu !

Mi Physics, chemistry, Biology, maths !

Kuanzia form 1 - 2 nilikuwa siyapendi kinyama yani ! Na hata muda wa kusoma sikuwa nao nikisikia pepa ! Naandaa vikaratasi vyangu ! Vya kuingia navyo, kasoro hesabu !

Mi nimewahi pata 9% maths yaani da !

Ila kuanzia Form 2 mwishon mpaka namaliza shule ! Ndo yalikuwa masomo yangu !

Na ndio yaliyo nifikisha hapa nilipo !

Ila English sijaipenda to primary !
 
hivi nyie history
kilichokuwa kinawashinda nini mbona mambo yalikuwa mchekela sana.yaani
ukimpata mwl mzuri akianza kukuhadathia mpk unasahau kama ulikuwa
darasani full kuenjoy

kilichokuwa kina nshinda kwenye history ni kupata points nying mana nlikuwa naona points zote zina maelezo yanayofanana.
 
Kweli tunatofautiana mkuu !

Mi Physics, chemistry, Biology, maths !

Kuanzia form 1 - 2 nilikuwa siyapendi kinyama yani ! Na hata muda wa
kusoma sikuwa nao nikisikia pepa ! Naandaa vikaratasi vyangu ! Vya
kuingia navyo, kasoro hesabu !

Mi nimewahi pata 9% maths yaani da !

Ila kuanzia Form 2 mwishon mpaka namaliza shule ! Ndo yalikuwa masomo
yangu !

Na ndio yaliyo nifikisha hapa nilipo !

Ila English sijaipenda to primary !

English&maths yalikuwa free marks kwangu
 
Mie physics na maths.
Nimesoma physics mpaka form 6 ila ukinirudisha kule o'level nikafundishe sina msaada kabisa. Nilikuwa nameza formulas na laws tu. Huko a level ndo kabisa, vile vitu havimo bora book keeping niliyoacha form 2 nakumbuka.
Nilisoma tu nifikie ndoto.
 
maths nilikuwa siipendi jamani mwalimu akifundisha naelewa sana nikibaki peke yangu napepa ni majanga
hata level niliyopo sasa maths ni lazima atleast kuna mbinu nazijua zinasaidia nisiende disco
 
Back
Top Bottom