Hili somo hili silisahau primary hadi olevel nilikula D. Alikua tunafundishwa na headmaster Alikua malaya kinoma so akawa anawafaulisha wasichana weupe pekee sis midume F kwa kwenda mbeleEnglish bhana japo nilipata C lakin hadi leo huwa spati jibu nilipataje japo kwa upande wa vitabu nilikuwa safi ila huku kwa is, a, are, at, had leo zinanisumbuaga tu.
nilitaka kuwauliza na mm hivyo hivyo...waache math ni ugonjwa wa taifa then kizungu hata wazugeAcheni nyondo nyote hakuna aliyechuki math.