Sometimes wanaume wanachangia mwanamke kuchepuka

cristela

Senior Member
Sep 20, 2016
138
297
Sisi wanawake tumezaliwa wavumilivu sana kuacha wale wenye tabia za asili ila kiukweli wanaume wamekua wabinafsi sana kwenye suala la mapenzi na ukifuatilia ni wanawake wachache sana wanaoridhishwa na wapenzi wao hasa walio kwenye ndoa na maambukizi mengi ya magojwa ya zinaa yanatokea kwenye ndoa.

Mwanaume akili yake anajua akishakupata ukamvulia the first-time basi huwa wamekua ni wabinafsi sana mnakuta mnasex yeye akisha maliza haja zake basi kageukia upande wa pili na bora achukue muda ila mwingine akiingiza tuu tayari karusha anakuachia shombo tuu na hamu kibao mwishowe inalegea kama mlenda.

Siongelei wanaume wote hapa nimesema baadhi, hii hupelekea mwanamke kuwaza mengi na kutoka nje, mwanaume anakujibu kila kitu si unapata? Hata uwe na kila kitu ndani usipokojoleshwa ni bure wanaume jueni kuwaridhisha wapenzi wenu acheni ubinafsi.
 
Wengine sio wabinafs ccta....ila mfatilie vizur utakuta hana uwezo wa kukufikisha cha msing ongeeni na mtafute solution ....hilo nmeprov kwa baadh ya ndoa.Akisha pona utakuta mama unakula mikwaju had huamin macho yako ndo mwanamke ntakupa ushindi kabisa kuwa umeacha mbwembwe ila umetafuta ufumbuz wa tatizo.
 
Kama hukojoleshwi si umwambie huyo mwenzio, sasa mtu kakutia shombo halafu unakausha, taufta njia nzuri mwambie ki ustaarab mtafute mbinu mbadala.
Ila kama pia naona wanawake huwa mna taka vitu vingi sana, pesa, care n.k lakini bado tena na kukojoleshwa mna taka. Punguzeni demands mnawapa wanaume mawazo sana mpaka wanashindwa ku perfom vzuri.
 
Kama hukojoleshwi si umwambie huyo mwenzio, sasa mtu kakutia shombo halafu unakausha, taufta njia nzuri mwambie ki ustaarab mtafute mbinu mbadala.
Ila kama pia naona wanawake huwa mna taka vitu vingi sana, pesa, care n.k lakini bado tena na kukojoleshwa mna taka. Punguzeni demands mnawapa wanaume mawazo sana mpaka wanashindwa ku perfom vzuri.
ata umwambie inasaidia nini wakati ishalegea kama mlenda mkuu wanaume siku hizi wamekua walaini sana...
 
ata umwambie inasaidia nini wakati ishalegea kama mlenda mkuu wanaume siku hizi wamekua walaini sana...
Sasa hilo ndo tatizo lako, hakuna kitu kisicho na suluhisho, mengine ni matatizo ya kisaikolojia mtu akijengwa tuu kiakili hailegei, mengine mkiwaona wataalam wana dawa zake.
Kaa naye chini onesha nia mtafute suluhisho kwa pamoja. Na ndio maana ya kupenda hiyo. La si hivo utachepuka sanaa kwa kweli
 
Kama hukojoleshwi si umwambie huyo mwenzio, sasa mtu kakutia shombo halafu unakausha, taufta njia nzuri mwambie ki ustaarab mtafute mbinu mbadala.
Ila kama pia naona wanawake huwa mna taka vitu vingi sana, pesa, care n.k lakini bado tena na kukojoleshwa mna taka. Punguzeni demands mnawapa wanaume mawazo sana mpaka wanashindwa ku perfom vzuri.
haya masuala ya kukojoleshwa wanawake tunayajua sie wanawake wa Siku hizi!

Wazazi wetu ukute hawajui hata kitu kimoja!

Mwanamke kuchepuka ni sawa na uasi ndani ya nyumba!
 
haya masuala ya kukojoleshwa wanawake tunayajua sie wanawake wa Siku hizi!

Wazazi wetu ukute hawajui hata kitu kimoja!

Mwanamke kuchepuka ni sawa na uasi ndani ya nyumba!
Hahaha
Ndio kubadilika kwa mambo halafu sku hizi mapenzi limekuwa ni suala la public kuliko hata zamani.
Kila kitu ukifanya ndani kesho hadharani unanyooshewa vidole tuu, wanao chepuka wana sifiwa , walio na mapungufu wana dharilishwa, yaan mapenzi uwanja wa fujo zaidi sku hizi
 
haya masuala ya kukojoleshwa wanawake tunayajua sie wanawake wa Siku hizi!

Wazazi wetu ukute hawajui hata kitu kimoja!

Mwanamke kuchepuka ni sawa na uasi ndani ya nyumba!
Mkuu hivi ww binafsi unapokojoleshwa huwa unakuwa ktk hali gani?
 
ata umwambie inasaidia nini wakati ishalegea kama mlenda mkuu wanaume siku hizi wamekua walaini sana...
kumwambia ni sahihi kabisa kwani kulegea ni kawaida baada ya uchovu wa safari akipumzika kidogo safari inaanza upya hadi utafrahi mwenyewe.
 
Back
Top Bottom