CosaNostra
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 382
- 139
Kama hujui histori nyamaza, ulegezaji wa kuingiza bidhaa toka nje ulianzishwa na Sokoine 1984 baada ya bunge la januari, wengine tulikuwa sekondari na tunajua, Baada ya bidhaa kuadimika 1980- 1983 ni Sokoine aliyemface JK kulegeza msimamamo ili wananchi wapate bidhaa. Salim aliendeleza tu alichoanzisha Sokoine, Sokoine hakuvumilia hata kidogo kuona wananchi wanapata shida. Ni aibu leo ukisema was not a hero.
Nadhani kuna kitu kinakusumbua kichwani..
Nadhani kuna kitu kinakusumbua kichwani..