Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 901
- 4,195
Ni jambo gani lililofanyika Monduli linaloashiria kulikuwepo na viongozi wa Kitaifa wanaomuenzi Mhe. Sokoine?
Nani amesimama kuzungumzia Sokoine kama ambavyo tunashuhudia ikifanyika kwa mwalimu Nyerere?
Kwanini kuanzia viongozi wa dini hadi wanasiasa wanamtisha Mhe. Rais kwa kuonyesha anao maadui? Mama Samia kwa nafsi na uvumilivu anapataje maadui? Amewafanyia nini hadi wawe maadui zake?
Kwanini viongozi wa dini wanataka kutafsiri kama hali siyo shwari wakati hakuna tishio lolote? Wao kukosekana kwa usalama hadi wasema tunakuombea usiku na mchana wanapataje habari?
Tulitegemea leo iwe kumbukizi ya Sokoine lakini tumeishia kuwa na kumbukizi ya wanafiki na wasaliti wanaopenda kukaa viti vya mbele wakihubiri na kutangaza mpasuko wa kisiasa na kiusalama waweze kuishi.
Sokoine alikuwa mchapa kazi na mwenye maono na msimamo, alijikita kusema kweli wakati wote. Leo kwanini tuombe taarabu kama ishara yakumuenzi.
Nilichokiona kinachoendana na Sokoine ni kuchoma nyama tu ambayo ni tamaduni ya Wamasai kama ishara ya upendo na shibe isiyobaghua .
Wazee na viongozi wa Kimasai, kimeru na kichaga wamenyimwa fursa wakapewa waheshimiwa wa kanda ya ziwa na pwani.....siyo poa tujisahihishe
Nani amesimama kuzungumzia Sokoine kama ambavyo tunashuhudia ikifanyika kwa mwalimu Nyerere?
Kwanini kuanzia viongozi wa dini hadi wanasiasa wanamtisha Mhe. Rais kwa kuonyesha anao maadui? Mama Samia kwa nafsi na uvumilivu anapataje maadui? Amewafanyia nini hadi wawe maadui zake?
Kwanini viongozi wa dini wanataka kutafsiri kama hali siyo shwari wakati hakuna tishio lolote? Wao kukosekana kwa usalama hadi wasema tunakuombea usiku na mchana wanapataje habari?
Tulitegemea leo iwe kumbukizi ya Sokoine lakini tumeishia kuwa na kumbukizi ya wanafiki na wasaliti wanaopenda kukaa viti vya mbele wakihubiri na kutangaza mpasuko wa kisiasa na kiusalama waweze kuishi.
Sokoine alikuwa mchapa kazi na mwenye maono na msimamo, alijikita kusema kweli wakati wote. Leo kwanini tuombe taarabu kama ishara yakumuenzi.
Nilichokiona kinachoendana na Sokoine ni kuchoma nyama tu ambayo ni tamaduni ya Wamasai kama ishara ya upendo na shibe isiyobaghua .
Wazee na viongozi wa Kimasai, kimeru na kichaga wamenyimwa fursa wakapewa waheshimiwa wa kanda ya ziwa na pwani.....siyo poa tujisahihishe