mkuu wewe ni mtaalamu wa ipi kati ya hizo?Ulead,sony vegas,avs studio,pinacle,adobe zote (ae na pro),final cut,cinemax4...hapo nimepanga kufuata urahisi wa kutumia.
asante mkuu.Nenda youtube kale tutorial....za kutosha Adobe Premiere Pro 2015 CC ndo mpango mzima, After effects 2015 CC na Photoshop CC 2015 hapo umemaliza ila kutumia after effects mashine yako inabidi iwe powerful..
mkuu naomba nikutafute ukiwa free, nahitaji kujifunza from zero.Ulead,sony vegas,avs studio,pinacle,adobe zote (ae na pro),final cut,cinemax4...hapo nimepanga kufuata urahisi wa kutumia.
Sasa kama kiingereza hakipandi fresh hapo inakua shida lakini watu wanaelewa tamthilia za kizungu huko uswahili na kiingereza cha kuunga unga jitahidi uangalie vitendo na sio maneno...mimi naangaliaga hata tutorial za kihispanyola na sielewi kihispanyolaasante mkuu.
youtube huwa napitia sana ila ngeli inakuwa ngumu kuelewa si unajua lakini,
nahitaji mtu wa kujitolea kunifundisha kwa muda wake... ombi tu
adobe premiere free version naipataje?Ahsanteni Wakuu,nimeenda Youtube Nikaangalia Video Za adobe premiere Ni nzuri.
watermark ni nini mkuu?Kwa anayejua simple software ya kutengeneza video isiyoacha watermark plz naomba aweke link hapa
Nicheck pm nnazo premier,after effects, Sony vegas proadobe premiere free version naipataje?
cc Chief-Mkwawa msaada mkuu
nb.. kama kuna cost kidogo pia si mbaya nikajua
mkuu nimekucheki tayari.Nicheck pm nnazo premier,after effects, Sony vegas pro
mm nina shida na adobe premiereKuna moja inaitwa FinalCut, nadhani ni ya Apple ndiyo wanayoikubali graphic designers wa ukweli, kishidashida kuna Adobe Premiere...