Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,192
- 13,737
Sophia SImba anaweza asiwe fisadi kama tuwa juavyo. Tatizo ni kwamba yeye ana tegemea watu kubaki alipo na ni lazima awa tetee hao watu. Sophia Simba ni samaki mdogo sana. Trust me she is a non issue. Tatizo ni kwamba yeye ni waziri na anafanya mambo kama mswahili.
Hapana mkuu wangu,huyu ni sehemu kubwa ya tatizo! Hiyo wizara haimfai hata kidogo! She need to go,period.