Inawezekana ni kulinda maslahi ya wale inaoona ni muhimu kulindwa hata kama gharama yake ni kuwa kichekesho ulimwengu mzima. Maana sijui kwanini anapigana kufa na kupona kuona hatusemi lolote kuhusu mambo tunayoyaona yanatuhusunimekuwa najiuliza kwa muda mrefu.. Wizara ya Utawala Bora inahusiana na mambo gani hasa?
Kwahiyo matatizo yetu makubwa kama nchi ni wanasiasa kulipa fadhila za uchaguzi? Maana hata watu wengine wakubwa wanagwaya kufanya maamuzi kwasababu walilipiwa kwenye uchaguziHao hao ndo wamemwoka kwenye uchairman hapo UWT na wakammwagia mapesa akapiga kampeni ya kufa mtu mnategemea atawasiliba walio mwenzesha lah hasha zaidi zaidi tutegemee kuwapiga kombora wapiganaji wanao wasulubu wanao faidi nchi.
Huyu si ndiyo yule mama uliyemfanyia interview mwaka jana mwanakijiji kwenye radio yake alafu akachemsha sana tuu alafu ukamtetea?au namfananisha?.
Kulikoni now?.
Inawezekana ni kulinda maslahi ya wale inaoona ni muhimu kulindwa hata kama gharama yake ni kuwa kichekesho ulimwengu mzima. Maana sijui kwanini anapigana kufa na kupona kuona hatusemi lolote kuhusu mambo tunayoyaona yanatuhusu
Sophia Simba anatekeleza matakwa ya mteuajii....mzee kumfagilia mtu ni kitu kingine kabisa; nilivyo huru ni kuwa sioni haya kumtetea mtu hata adui yangu, sioni ugumu kumsifia mtu hata kama sikubaliani naye, na sioni shida kumpinga mtu hata kama ni ndugu yangu. Uhuru huu unanifanya nisimamie nilipomtetea wakati aliposhambuliwa wakati ule na vile vile kutaka aachie ngazi kwani aliyoyafanya/sema kwenye hicho kikao ni aibu kabisa. Lakini kwa upande mwingine akiendelea kwa nafasi yake even a week inabidi tujiulize; what does it say about the one who appointed her?
Ile wizara ilipaswa kuwa na mtu strong na mtendaji,utampaje mtu wa mipasho/matusi mdomoni kuongoza wizara nyeti kama ile? Badala ya kuonyesha utawala bora,kazi yake kuwananga na kubwatukia watu ovyo ovyo.
Kwahiyo matatizo yetu makubwa kama nchi ni wanasiasa kulipa fadhila za uchaguzi? Maana hata watu wengine wakubwa wanagwaya kufanya maamuzi kwasababu walilipiwa kwenye uchaguzi
Akina Mwinyi hawana ubavu wa kufanya lolote zaidi ya kupata wasaa wakusikia malumbano zaidi na kuelewaa yupi mwenye nguvu kwa masilahi yao..mwenyewe anajitta "mtoto wa mjini" hakopeshi. Na kama ni kuwapasha watu jana amewapasha watu. RA alichelewa kuzungumza labda atazungumza leo au ataamua kuyeyuka, anaenda safari na yeye. Mwisho kina Mwinyi wataamua kuacha tu haya mambo!
nimekuwa najiuliza kwa muda mrefu.. Wizara ya Utawala Bora inahusiana na mambo gani hasa?
Mwanakijiji hii mbona inakuwa ka udaku! Tupe kilichojili kwa ukamilifu mzee.
NI wizara ya kuwadhibiti na kuwamiliki Watanzania, watawaliwe kwa utaalamu!
NI wizara ya kuwadhibiti na kuwamiliki Watanzania, watawaliwe kwa utaalamu!
mzee kumfagilia mtu ni kitu kingine kabisa; nilivyo huru ni kuwa sioni haya kumtetea mtu hata adui yangu, sioni ugumu kumsifia mtu hata kama sikubaliani naye, na sioni shida kumpinga mtu hata kama ni ndugu yangu. Uhuru huu unanifanya nisimamie nilipomtetea wakati aliposhambuliwa wakati ule na vile vile kutaka aachie ngazi kwani aliyoyafanya/sema kwenye hicho kikao ni aibu kabisa. Lakini kwa upande mwingine akiendelea kwa nafasi yake even a week inabidi tujiulize; what does it say about the one who appointed her?
RA alichelewa kuzungumza labda atazungumza leo au ataamua kuyeyuka, anaenda safari na yeye. Mwisho kina Mwinyi wataamua kuacha tu haya mambo!