Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
Hii Soda vipi wana jf? nikianza kuinywa tu gesi inakwisha hasa nyakati za usiku, wakatimwingine nakunywa mpaka nusu, kabla sijamaliza ishaflet, mwanzoni haikuwa hivyo nilikuwa nakunywa mpaka mwisho ikiwa na gesi yake, Kuna wakati nilishauriwa nibadilishe aina ya kinywaji kwani ninachotumia eti hakina ubora pia niangalie expire date lakini wapi! Mwanamke anaridhika na mwanaume anayekula na kunywa vizuri kile anachoandaliwa. Kabla sijaanza kunywa nakuwa na hamu sana.
Nifanyeje?
Nifanyeje?