St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,634
- 4,519
Hii Soda vipi wana jf? nikianza kuinywa tu gesi inakwisha hasa nyakati za usiku, wakatimwingine nakunywa mpaka nusu, kabla sijamaliza ishaflet, mwanzoni haikuwa hivyo nilikuwa nakunywa mpaka mwisho ikiwa na gesi yake, Kuna wakati nilishauriwa nibadilishe aina ya kinywaji kwani ninachotumia eti hakina ubora pia niangalie expire date lakini wapi! Mwanamke anaridhika na mwanaume anayekula na kunywa vizuri kile anachoandaliwa. Kabla sijaanza kunywa nakuwa na hamu sana.
Nifanyeje?
Mkuu naogopa kukufundisha jinsi ya kuinywa hiyo soda yako hapa jamvini ila nakuomba ukumbuke tu kuwa Deni ni Ahadi na nakuahidi nitakujibu katika PM na kukupa mbinu mpya za kuinywa hiyo soda,na haitaisha utamu kwani sisi wengine huwa tunakunywa soda hata saa nzima na haiishi utamu wala gesi.