Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
really?
basi atakuwa anafananai sana,
nimemuona live na yuko exactly
kama hiyo picha.........
Hebu angalia watermark hapo chini upande wa kulia....
really?
basi atakuwa anafananai sana,
nimemuona live na yuko exactly
kama hiyo picha.........
Broda, sentens tata hii!..Unamaanisha nini kaka?Mwambie akuoneshe kwanza uzoefu wake wa nyuma ndo kazi iwepo.
Kuna sms zingine ukitumiwa unabaki hoi...
hujui ujibu nini....
kama hii niliyotumiwa juzi....
"nina diploma ya kukumbatia,degree ya kutomasa,
masters ya kubusu,uzoefu wa miaka 20 wa kupenda,utanipa
kazi gani ndani ya kampuni ya mwili wako?"
.
mrembo mwenyewe ndo huyo hapo,
ni member hapa jf..
sijui nimjibu nini???
Mhh,hapa ndo penyewe
Mpe kazi kama huibi lakini
mrembo mwenyewe shapeless! I feel like puking!
Huyo kesha wahi fanya kazi kwangu!Kuna sms zingine ukitumiwa unabaki hoi...
hujui ujibu nini....
kama hii niliyotumiwa juzi....
"nina diploma ya kukumbatia,degree ya kutomasa,
masters ya kubusu,uzoefu wa miaka 20 wa kupenda,utanipa
kazi gani ndani ya kampuni ya mwili wako?"
.
mrembo mwenyewe ndo huyo hapo,
ni member hapa jf..
sijui nimjibu nini???
tangu lini tumbili akamjua binadamu? Subiri wenzio uwakosoe
Mashaka yangu ni huo uzoefu wa miaka 20, kwa miaka ishirini katomasa wangapi na hiyo master kapewa na wahadhiri gani? Kwa hiyo mkuu unatakiwa uwe na kazi ya level ya phd ili kuweza kumudu huo uzoefu na qualification hizo, good luck mpe kazi ya kutomasa!