The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Kuna sms zingine ukitumiwa unabaki hoi...
hujui ujibu nini....
kama hii niliyotumiwa juzi....
"nina diploma ya kukumbatia,degree ya kutomasa,
masters ya kubusu,uzoefu wa miaka 20 wa kupenda,utanipa
kazi gani ndani ya kampuni ya mwili wako?"
.
mrembo mwenyewe ndo huyo hapo,
ni member hapa jf..
sijui nimjibu nini???
hujui ujibu nini....
kama hii niliyotumiwa juzi....
"nina diploma ya kukumbatia,degree ya kutomasa,
masters ya kubusu,uzoefu wa miaka 20 wa kupenda,utanipa
kazi gani ndani ya kampuni ya mwili wako?"
.
mrembo mwenyewe ndo huyo hapo,
ni member hapa jf..
sijui nimjibu nini???