sms ya mrembo...

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,899
Kuna sms zingine ukitumiwa unabaki hoi...
hujui ujibu nini....

kama hii niliyotumiwa juzi....

"nina diploma ya kukumbatia,degree ya kutomasa,
masters ya kubusu,uzoefu wa miaka 20 wa kupenda,utanipa
kazi gani ndani ya kampuni ya mwili wako?"


3707275098_2f055f2b37.jpg

.
mrembo mwenyewe ndo huyo hapo,
ni member hapa jf..
sijui nimjibu nini???
 
Mhh walinzi huwa hatulali
Mwambie iyo pic sio yake kaiiba sehemu ina muhuli, Hhehe hehe mwambie HUDANGANYIKI!
sijui boss gani huyu hajui hata mitego ya kuibiwa,ngoja nimtafute kicheche mmoja nimsajili hapa tupige dili maana ming`ombe kibao.
 
Kuna sms zingine ukitumiwa unabaki hoi...
hujui ujibu nini....

kama hii niliyotumiwa juzi....

"nina diploma ya kukumbatia,degree ya kutomasa,
masters ya kubusu,uzoefu wa miaka 20 wa kupenda,utanipa
kazi gani ndani ya kampuni ya mwili wako?"


3707275098_2f055f2b37.jpg

.
mrembo mwenyewe ndo huyo hapo,
ni member hapa jf..
sijui nimjibu nini???

Mhhhhhh! I reserve my comments ;)
 
we hulali?
sasa nimjibu nini huyu mrembo????

BOSS ni lazima uhakikishe kwamba hiyo picha ni valid isije ikawa unaingizwa mjini halafu akakwambia ahhhhh! nilifanya mazoezi saaaaana :) basi WOWO lote likapotea...LOL! Mjini hapa BOSS you have to be extra careful before you commit. Good luck and All the best.
 
BOSS ni lazima uhakikishe kwamba hiyo picha ni valid isije ikawa unaingizwa mjini halafu akakwambia ahhhhh! nilifanya mazoezi saaaaana :) basi WOWO lote likapotea...LOL! Mjini hapa BOSS you have to be extra careful before you commit. Good luck and All the best.
jamaa yangu naona hajababatwizwa na wale wa9ja,wakimpata na habari yapicha tu,watamkula kichizi,the boss kuwa makini mkuu.
 
jamaa yangu naona hajababatwizwa na wale wa9ja,wakimpata na habari yapicha tu,watamkula kichizi,the boss kuwa makini mkuu.

mkuu sio picha tu..
nimemuona live....
kuniibia itakuwa ngumu,siko easy ki hivyo.
bado namfikiria,sijampa kazi bado....
 
Mkuu yaani hiyo picha ulioyo iweka ndio inakunizingua? hata kama umemuona, that is not the basic thing, swali ni kuwa , je do you match with her in terms of tabia e.t.c. Do you want to take her as a wife? To me she doesn't deserve. Thats is my opinion, am sorry if I am wrong, but frankly speaking, sitoweka such a photo kwa mtu ninaympenda kwenye tovuti. Maoni yangu.
 
Mkuu yaani hiyo picha ulioyo iweka ndio inakunizingua? hata kama umemuona, that is not the basic thing, swali ni kuwa , je do you match with her in terms of tabia e.t.c. Do you want to take her as a wife? To me she doesn't deserve. Thats is my opinion, am sorry if I am wrong, but frankly speaking, sitoweka such a photo kwa mtu ninaympenda kwenye tovuti. Maoni yangu.

mkuu sijui how old are you..
but kadri utakavyokua,utakuja kuelewa
kuwa si wanawake wote wanataka kuolewa,
wengine wanataka a fling tu,
na sio relationship zote ni za kuoana,zingine for fun....
kuhusu picha,sijamuonyesha sura,na hapa kwenye
tovuti,wapo wengi wenye picha zao za kweli na wapo
very decent,umenipata??????
 
kimyaaaa!! sina tena la kuongeza!!
hata hivyo ndo zetu, ww huyo wa ukweli na ukimwachia huyo utapitwa na kila kitu mwanakwetu!
Anawaka namna hiyo pinduka tu ila using'ang'anie!!!!!!!
 
Back
Top Bottom