Kitumbo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 549
- 185
sawa kabisa maandamano yaje, ccm imemwaga mboga wananchi kuanzia ijumaa tunamwaga ugali, mbwai mbwai bwana, tumechoka ala! nasisitiza: Ni bora nife nimesimama kuliko kuendelea kuishi huku nimepiga magoti.
Du! na avatar yako inaonyesha kweli umedhamiria na unaweza... sina shaka u-miongoni mwa wasambazaji wa SMS hiyo.