Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Isije kuwa tunashawishiwa kuandamana kwa sababu tu mgombea wa aliyetuma post hapa kaangakuka.
message hiyo ni ya kichochezi na haitofautiani na za akina shamte au yoyote ile tuliyokua tunailaani
watanzania tutambue kuwa utu wetu ni zaidi ya momentarily emotions zinazozunguka vichwani mwetu.... miaka mitano si mingi na kwa subira ushindi waweza patikana
nashauri tuache upuuzi huo, tujiunge wote wapinzani na wapenda maendeleo ya nchi
binafsi jumapili ntajiunga rasmi kujiandaa na 2015... sihitaji kupoteza ndugu, rafiki, mke, au watoto wangu kwasababu inayoweza kusubiri
damusi bei rahisi kama inavyotamkwa, ukifa hurudi tena lakini ukisubiri utaona kesho
time heals
Kuna SMS ya maandamano nchi nzima kuanzia ijumaa amabyao inasambaa kwa kasi mno. Ujumbe wenyewe unasema "Tumeujumiwa miaka 45 imetosha. Kuanzia ijumaa ni maadandamano ya amani nchi nzima" Nawaunga mkono waandamanaji kwa maana ni haki yao ya msingi kuandamana, kwani kikwete na makamba wamezidi kuvuruga amani yetu. Tumefika mwisho wa uvumilivu na serikali yake ya kidhalimu na kiusultani
Kwa maana hiyo, ikiwa damu itamwagika, basi tume ya uchaguzi, Kikwete, Makamba na wengio wabebe mzigo. Wao ndio wanaoanza kuivuruga amani yetu na utulivu wetu kwa kuivamia haki yetu ya msingi. Kupiga kura.
sawa kabisa mjomba, nakuunga mkono mia kwa mia ,ya nini tumwage damu eti kisa Slaa lazima aingie ikulu!!! kasoro za hapa na pale zisitufanye watanzania tuvunje rekodi yetu ya uungwana,ustaarabu,utulivu na amani.Nakumbuka huyo padre alishasema hataki kuingia ikulu damu ikimwagika sasa je ana uhakika gani maandamano hayo yataisha salama bila kumwaga damu? kama kweli anaipenda nchi hii, na ni mstaarabu kama anavyodai naomba akemee au akomeshe njama hizi za maandamano ajipange kwa kukinadi chama chake tayari kwa 2015 ,. asiyekubali kushindwa sio mshindani..
Siungi mkono wazo hilo. Damu ya watanzania inaweza kumwagika. Lajufanya Wabunge wetu washinikize iundwe tume huru vyama vyote viwakilishwe 2015 ufanyike uchaguzi wa Haki vinginevyo si rahisi kuishinda dola
wacha uoga wewe hawa jamaa watazoea na 2015 wataiba tena na utasema tusubiri tena miaka mitano na baada ya hiyo mitano wataiba tena na tusubiri miaka mitano....linear proggression with a common difference 5 years kama ulisoma hesabu lakini, wakati wa ukombozi ni sasa na ni maandamano ya amani na si vita inabidi tuwaonyesha sasa kuwa hatujaridhika na huu wizi. Naunga mkono hoja 100%.message hiyo ni ya kichochezi na haitofautiani na za akina shamte au yoyote ile tuliyokua tunailaani
watanzania tutambue kuwa utu wetu ni zaidi ya momentarily emotions zinazozunguka vichwani mwetu.... miaka mitano si mingi na kwa subira ushindi waweza patikana
nashauri tuache upuuzi huo, tujiunge wote wapinzani na wapenda maendeleo ya nchi
binafsi jumapili ntajiunga rasmi kujiandaa na 2015... sihitaji kupoteza ndugu, rafiki, mke, au watoto wangu kwasababu inayoweza kusubiri
damusi bei rahisi kama inavyotamkwa, ukifa hurudi tena lakini ukisubiri utaona kesho
time heals