afadhali umesema unadhani, kwa sababu hiyo requirement ni ya uraisi tu, kwa VP ni kujua kusoma na kuandika kiswahili AU kiingereza, ndio maana Dr Slaa hajawekewa pingamizi kwa mgombea mwenza hadi leo, otherwise angekua ameshang'oka kwenye kibnyeng'anyiro.
tatizo si katiba inasema nini as inatoa minimum requirement, ila je is that the best Chadema can do in regard to mgombea mwenza aka VP mtarajiwa?
madrassa al sul