Elections 2010 Slaa kufyeka wizara, kufuta ukuu wa Mkoa

Hivi ni kweli Said Mzee Said,Mgombea mwenza wa chadema ana elimu ya msingi au ni chumvi za habari leo tuu.
 
Hivi ni kweli Said Mzee Said,Mgombea mwenza wa chadema ana elimu ya msingi au ni chumvi za habari leo tuu.

Heshima kwako Kazizozele,

Mkuu wangu nimesikia hilo kwenye kipindi cha magazeti TBC1 nikajisemea rohoni kama ni kweli basi CHADEMA kama chama hakikujiandaa na ninaanza kuamini maneno ya Prof Lipumba.Makamu wa rais ni mtu muhimu sana anaweza kuwa Rais wakati wowote rais anaposhindwa kutekeleza majukumu yake iweje CHADEMA watuwekee darasa la saba kama siyo kuwadharau waTanzania na wapiga kura kwa ujumla.

CHADEMA wanataka kutuambia wamekosa mtu mwadilifu,mwenye elimu nzuri,mwenye kipaji na uwezo kutoka Zanzibar ????????.
 
Hata USA haina mawaziri 14; wapo zaidi ya 20 na ukijumlisha na manaibu namba inaenda mbali sana.

Kuwa na baraza dogo la mawaziri ni jambo jema kwa nchi maskini kama ya kwetu ila hii mifano anayoitumia bila hata kufanya uchunguzi wa kutosha ndio naona inamwangusha.

Hata hilo la gari VX kununuliwa milioni 200 nalo huenda ni figure isiyo sahihi.

Kuna haja ya kuanzisha facts check kuwakamata wanasiasa wanaozidisha chumvi kwenye mboga.

Watu wengine hata sijui wapo upande gani. kwa hiyo wewe unataka viongozi waendelee kuwa wengi?
Na wakifanya nini la maana! Nionacho mimi viongozi ni wengi Tanzania, halafu siyo wawajibikaji, na pia hata wa kuwawajibisha huwa inakuwa ni ngumu kujua. na ndiyo maana hata wakiboronga wazi wazi bado wanag'ang'ania kuwa madarakani.

Inakaribia au umefika wakati sasa viongozi wapungue, maslahi yao yapunguzwe, na majukumu yao yaongezeke ili watu has wale waliopo katika Expertism kama Madokta bingwa e.g. Mwakyusa wapewe malahi manono warudi kutibu wagonjwa mifupa pale MHimbili!!!

lakini kwa mfumo huu wa CCM na katiba yetu, wataalam kibao waliobobea kama ma BVM ( Peter msolla, Maghembe, Mwandosya, Mwakyembe) wote wanakimbilia uwaziri na siasa wakiacha mapengo katika vitengo mhimu kabisa.

Kuna uzushi mwingi sana kwa kuwa na viongozi wengi wanaotumia mafedha mengi na walipa kodi wenyewe tunazidi kuangamia kwa maisha magumu. Leo hii sisi walipa kodi hujaendelea kwa mshahara peke yake, hata kibanda tu huwezi jenga ndugu yangu. na ndiyo maana CCM inazidi kuzalisha mafisadi. Wengine huku chini ambao ndo wengi wao wanakamatwa na kuwa sued, hawapendi kuwa hivyo ila tu ndo njia pekee iliyobaki.
jamani mashangingi VX na magari mengine yanayotutafuna tupunguze, na bila ya kuiondoa CCM kumleta Dr. Slaa bado hatujaenda.

UONGOZI WETU MKUBWA NA CCM HAWAJAONA HILO na wanazidi kuongeza jamani tutafika wapi?? TUFUNGUKE!
KAMA HATUWEZI KUBADILIKA BASI KUFIKIA MWAKA 2025, WATANZANIA WATABINAFSISHWA KWA WAHINDI
 

Heshima kwako Kazizozele,

Mkuu wangu nimesikia hilo kwenye kipindi cha magazeti TBC1 nikajisemea rohoni kama ni kweli basi CHADEMA kama chama hakikujiandaa na ninaanza kuamini maneno ya Prof Lipumba.Makamu wa rais ni mtu muhimu sana anaweza kuwa Rais wakati wowote rais anaposhindwa kutekeleza majukumu yake iweje CHADEMA watuwekee darasa la saba kama siyo kuwadharau waTanzania na wapiga kura kwa ujumla.

CHADEMA wanataka kutuambia wamekosa mtu mwadilifu,mwenye elimu nzuri,mwenye kipaji na uwezo kutoka Zanzibar ????????.

Acha ubaguzi wako wewe, hizi elimu za madarasani kuna wakati hazina msaada, mwangalieni tu halafu mcheck uwezo wake.

Elimu kwa sasa kuna nyakati zimetumika kutuibia hivyo tusihusudu vipengele vichache, ila hoji kuwa anaweza kuwatumikia wananchi!!
 
Acha ubaguzi wako wewe, hizi elimu za madarasani kuna wakati hazina msaada, mwangalieni tu halafu mcheck uwezo wake.

Elimu kwa sasa kuna nyakati zimetumika kutuibia hivyo tusihusudu vipengele vichache, ila hoji kuwa anaweza kuwatumikia wananchi!!

Kuna kila sababu ya kuheshimu mawazo yako,lakini ebu tuwe wakwelidarasa la saba awe makamu wa raisi,na imekuwaje mpaka amefikia umri huu ameshindwa kujiendeleza ili kuongeza madarasa japo kidogo.Kwa dunia yetu ya sasa hauwezi kusema elimu haina nafasi katika harakati za kuchagua kiongozi.Semeni msemavyo kama jamaa ni darasa la saba,chadema wamechemka.HIVI HII NCHI INAELEKEA WAPI.
 
Hii notion ya kuabudu elimu ya darasani ndo inafanya mpaka watu wananua vyeti! natamani tuwe tunatambua michango ya watu kwenye jamii zetu kuliko kuabudu vyeti naomba nisiwe misquoted simaanishi nabeza lakini tuwe 'genuine na authentic'

Kuna mifano mingi ya watu ambao either hawana formal education au wanayo ya primary na wamefanya vizuri au wana shika nafasi kubwa mfano Yakobo Zuma,Lula Da Silva

Kwa hiyo Dr Slaa weldone on that!
 
Hii notion ya kuabudu elimu ya darasani ndo inafanya mpaka watu wananua vyeti! natamani tuwe tunatambua michango ya watu kwenye jamii zetu kuliko kuabudu vyeti naomba nisiwe misquoted simaanishi nabeza lakini tuwe 'genuine na authentic'

Kuna mifano mingi ya watu ambao either hawana formal education au wanayo ya primary na wamefanya vizuri au wana shika nafasi kubwa mfano Yakobo Zuma,Lula Da Silva

Kwa hiyo Dr Slaa weldone on that!

Haya mkuu lets wait and see.
 
Kuna kila sababu ya kuheshimu mawazo yako,lakini ebu tuwe wakwelidarasa la saba awe makamu wa raisi,na imekuwaje mpaka amefikia umri huu ameshindwa kujiendeleza ili kuongeza madarasa japo kidogo.Kwa dunia yetu ya sasa hauwezi kusema elimu haina nafasi katika harakati za kuchagua kiongozi.Semeni msemavyo kama jamaa ni darasa la saba,chadema wamechemka.HIVI HII NCHI INAELEKEA WAPI.

Kimsingi lazima tufike mahali tubadilike, Kwa hii Tanzania yetu ni profesa gani kiongozi amabye amefanya mambo ya ajabu kuwasaidia watanzania. Zaidi sana tunazidi kubaki palepale na zaidi sana kuzalisha wizi na ufisadi. Inapofika mda wa kuongoza lazima tuone mbali zaidi. na kama hili ni baya basi Mchague Dr. Slaa abadilishe katiba ili iweke na hayo pia yawe wazi. lakini kwa sasa wewe ndo unapinga katiba iliyopo.

Langu ni kwamba uwezo wake, nia yake, sababu yake ya kuwatumikia watanzania ipo nasiyo hao wenye matarajio makubwa ya kung'ang'ania kujenga nyumba yenye swiming pool ukiongoza watu wenye nyumba za nyasi na matope wasiojiweza. Si bora hata ya huyo atatumia kama tulichonacho.

HApa ttulipo na hao madocta wa heshima kwani tunaenda wapi, mimi naona kama tunajisokota tu ili baadaye tuanguke. Ndugu kama ni hicho kiingereza anajua, na kama kuongoza watu anajua vema kabisa. Tumechoka na elimu za kukariri bila ya kujalimaslahi ya wengi.
 
Shida yenu ni kwamba kila rafiki mnamuundia Wizara /kitengo kwa gharama ya kodi zetu.:confused2:
 
Kimsingi lazima tufike mahali tubadilike, Kwa hii Tanzania yetu ni profesa gani kiongozi amabye amefanya mambo ya ajabu kuwasaidia watanzania. Zaidi sana tunazidi kubaki palepale na zaidi sana kuzalisha wizi na ufisadi. Inapofika mda wa kuongoza lazima tuone mbali zaidi. na kama hili ni baya basi Mchague Dr. Slaa abadilishe katiba ili iweke na hayo pia yawe wazi. lakini kwa sasa wewe ndo unapinga katiba iliyopo.

Langu ni kwamba uwezo wake, nia yake, sababu yake ya kuwatumikia watanzania ipo nasiyo hao wenye matarajio makubwa ya kung'ang'ania kujenga nyumba yenye swiming pool ukiongoza watu wenye nyumba za nyasi na matope wasiojiweza. Si bora hata ya huyo atatumia kama tulichonacho.

HApa ttulipo na hao madocta wa heshima kwani tunaenda wapi, mimi naona kama tunajisokota tu ili baadaye tuanguke. Ndugu kama ni hicho kiingereza anajua, na kama kuongoza watu anajua vema kabisa. Tumechoka na elimu za kukariri bila ya kujalimaslahi ya wengi.
lakini nadhani katiba inasema at least shahada moja ya chuo kikuu au equivalent sijui kiwango gani ni hiyo equivalent maana makamu ni rais mtarajiwa
 
Wapo madrop out hawana shahada wala mtoto wa shahada wamefanikisha mambo makubwa Je Bill Gate wakati akianzisha Microsoft alikuwa amehitimu chuo Kikuu?Kuelemika sio kukariri tu ni zaidi ya hayo.
 
Chadema na serikali tatu ???


MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Wilbroad Slaa, amesema iwapo atashinda kiti cha urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu, ataunda serikali tatu ikiwamo ya Tanganyika.

Haya watu wachadema huyo mkuu anakuja na ombi la serikali tatu akimaanisha serikali ya Tanganyika irudi ,...hapa tukiisemea Zanzibar wengine mnakuwa mbogo aliejeruhiwa ,niliwahi kuhoji inakuwaje wengine wanapoizungumzia Zanzibar na kero na tabu na shida za muungano wengine mnakuwa wakali sana, na ni nyie nyie mnaoiunga mguu Chadema ,inakuwaje maana kama utafuatilia topiki za Muungano na mambo ya Zanzibar humu JF basi WaChadema si wakuidai Tanganyika .
 
Fundi Mchundo,

Usiwaamini sana Waandishi wa habari wa Tanzania ambao baadhi yao wanawaharibia saana wengine walio makini.

Kuna kila dalili kuonyesha kuwa hawa jamaa wamechanganya mambo.

Nilishasoma maelezo kwenye Blog ya dada mmoja kuhusu mama Mmoja Boss wa Polisi Tanzania na humo ndani wakawa wameandika mahojiano naye. Cha kuchekesha yule dada kaandika kuwa "mama huyu alisema ana mtoto mmoja tu wa Kike aitwaye Bahati." Cha kushangaza ni kuwa Bahati ni Mwanaume na mama hana hata mtoto mmoja wa Kike. Umri alibadilisha vibaya sana. Watoto wa yule mama akawachanganya hadi inaleta Kinyaa. Na kama haitoshi, akachukua maelezo hayo na kuyaweka kwenye Blog yake.

Dr Slaa yuko makini sana na anachokiongea. Utalazimisha kupindisha maneno lakini ukweli utabaki palepale. Wapinzani wake wanaandika uongo na baadaye kuanza kuonyesha kuwa jamaa kafanya makosa. Kibaya zaidi ni kuwa kuna watu wanaamini kupindisha huko. FM, nilitegemea wewe uwe ni moja ya watu watakaloliona hilo haraka ila nashangaa kuwa na wewe unaanza kuila sumu ya hawa jamaa.

Kama aliweza kugundua makosa kwenye sheria iliyowekwa sahihi kwa mbwembwe, sidhani kama atashindwa kutofautisha kati ya USA na UK. Na hata kama alisema UK, ilihitaji waandishi wa habari kuisahihisha hiyo kitu. Ila ukisoma maelezo ya member hapa, Dailynews waliandika kuwa ni USA na siyo UK.

KWa kuongea tu, Slaa hajambo bwana. Wala hahitaji kusoma. Kuna wengine hata maongezi ya kawaida hawawezi na inabidi wasome. Mwisho ndiyo inaanza yale ya unaongea na ukipiga 5 bora na kurudi unaanza kuuliza watu "hivi niliishia wapi....??"

images


517900.jpg


Mkononi hana karatasi.
 
Mimi nimehesabu mawaziri (cabinet secretaries) wakafika 15. Solomon yuko sahihi kuliko wewe hapa. Unless kama umehesabu wakafika 20. Wewe unaona wangapi hapo?

Mwafrika,

Labda u define nini maana ya waziri? Kuwa na wizara au depertments 15 haina maana kwamba hata mawaziri ni 15. Ukisema hivyo basi hata TZ hatuna mawaziri 47.

Wote walioko kwenye picha ni members wa cabinet kwa kwetu ndio mawaziri wenyewe, sasa je hao wako 15?
 
Hii notion ya kuabudu elimu ya darasani ndo inafanya mpaka watu wananua vyeti! natamani tuwe tunatambua michango ya watu kwenye jamii zetu kuliko kuabudu vyeti naomba nisiwe misquoted simaanishi nabeza lakini tuwe 'genuine na authentic'

Kuna mifano mingi ya watu ambao either hawana formal education au wanayo ya primary na wamefanya vizuri au wana shika nafasi kubwa mfano Yakobo Zuma,Lula Da Silva

Kwa hiyo Dr Slaa weldone on that!

sijui kama Zuma yuko kwenye hesabu ya watu kufanya vizuri au kushika nafasi kubwa? anyway, rumor za mtaani ni kwamba Zuma anaelimu zaidi ya ambayo iko public kwenye mambo ya usalama, so anaweza akawa educated kuliko tunavyojua,
 
lakini nadhani katiba inasema at least shahada moja ya chuo kikuu au equivalent sijui kiwango gani ni hiyo equivalent maana makamu ni rais mtarajiwa

afadhali umesema unadhani, kwa sababu hiyo requirement ni ya uraisi tu, kwa VP ni kujua kusoma na kuandika kiswahili AU kiingereza, ndio maana Dr Slaa hajawekewa pingamizi kwa mgombea mwenza hadi leo, otherwise angekua ameshang'oka kwenye kibnyeng'anyiro.

tatizo si katiba inasema nini as inatoa minimum requirement, ila je is that the best Chadema can do in regard to mgombea mwenza aka VP mtarajiwa?
 
Back
Top Bottom