Elections 2010 Slaa kufyeka wizara, kufuta ukuu wa Mkoa

Kwa mala ya kwanza niliposikia Dr slaa ameteuliwa kuwa mgombea wa urais kupitia chadema niliamini zile zama za ujanja ujanja wa chadema zinaelekea kuisha,yapo mabo sas yananifanya nianze kupoteza imani na daktari huyu mlumi na msomi sana aliyejaliwa kipaji cha kusema.Hakuna jipya ambalo mh huuyu anonesha atafanya zaidi ya kujalibu kuhubili chuki na udanganyifu kwa watu,iwapo utachukua mifano michache tu ambayo nimemsikia kiongea 1)anadai kufuta wakuu wa mikoa kwa kuwa ni gharama! lazima ujue mkoa maana yake ni nini, iwapo unaufuta maana yake unaondoa mamlaka kwa mtu fulani na kuyapeleka kwa mtu mwingine bado tatizo liko palepale kwa kuwa atakae pewa lazima apewe status inayoonyesha kuwa huyu ndiye mwakilishi wa nkoa,vinginevyo nchi nzima itaanza kuongozwa kutokea dsm?
2) Marekani huwezi kuitumia kuwa mfano wa Tanzania au nchi yoyote Afrika,marekani inaundwa na states ambazo kila moja inamamlaka kamili kama nchi na siyo mkoa au wilaya,na katika kila state kuna mikoa na wilaya,ndiyo maana baraza lao la mawaziri ni dogo.ushauri wangu Dr slaa inaonekana huna hoja jalibu tena kutafuta maneno ya kusema maana huna jipya.
 
Serikali 3 siyo lazima iambatane na ukubwa wa serikali. Ukisoma amesema kuwa kutakuwa na serikali ya Zanzibar, Tanganyika, Serikali ya tatu itashughulikia mambo ya fedha, mambo ya nje, na mambo ya ulinzi. mambo mengine yatashughulikuwa na serikali husika. Je, ukubwa wa serikali unatoka wapi??? Someni kabla ya kujibu hoja>

Ngugu Nsololi.

Moja kati ya matatizo makubwa ya Tanzania leo ni matumizi makubwa ya serikali zaidi ya ukusanyaji wa kodi. Sasa kusema kwamba tufute manaibu waziri na tongeze serikali ya tatu ni sawa na moja toa moja. Sababu kubwa ambayo Dr Slaa na wengine tunaopinga manaibu waziri ni ufujaji wa pesa. Hivyobasi, kuwafukuza kutatuwezasha kusave pesa. Kama tunafunga mlango mmoja na kufungua mwingine tunakuwa hatujafanya kazi.

Kwani serikali ya sasa imeshindwa kushuhurikia mambo ya ulinzi na ya nje? Na jee what difference will this so called "serikali wa tatu" brings? Nadhani hakuna hoja ya msingi ya kuleta serikali tatu, naamini kwa nguvu zote ni kuongeza ujanja ujanja wa kuwaibia wananchi na kufuja kodi.
 
hivi dr. Slaa na chadema mmecheck usahihi wa mifano mnayotumia?

Argument ya ukubwa wa serikali ni nzuri sana lakini mifano inayotumika haiko sahihi. Mara mbili nimesoma dr. Slaa akitoa mfano wa uk kuwa na baraza la mawaziri dogo na kutaja namba ya 14 lakini ukweli unapingana na hayo madai yake.

Uingereza ina mawaziri wapatao 100 kama unajumlisha na mawaziri wadogo na sio 14 kama anavyodai dr. Slaa. Pia uingereza ina watu karibu 60m na sio 300m anavyodai dr. Slaa. Hata ukichukulia mawaziri kamili basi wako karibu 30, sijui hiyo namba ya 14 kaitoa wapi?

Mbali na serikali ya uk yenye hao mawaziri karibu 100 pia kuna serikali ya scotland, wales na northern ireland na kwa ujumla kufanya nchi iwe na baraza kubwa sana la mawaziri.
Baraza la mawaziri la uk linaweza kupatikana hapa:

bbc news - cameron's government: A guide to who's who

suala ni kuwa serikali kubwa kuliko uwezo wa kuimanage. Tija yao ni ipi? Uteuzi wao unazingatia vigezo vipi kama sio vya kishikaji. La msingi utakapopiga kura fikiria na muundo wa serkali ndogo yenye tija.
 
Niko skeptical sana na huyu Slaa, ati anasema atapunguza gharama za serikali kwa kufanya muundo wa serikali 3?? Hivi sasa zipo mbili unasema zinatumia gharama kubwa sasa arithmetically zikiwa 3 ndio zitapungua?? kupunguza ukubwa wa serikali sio ishu, ishu ni kuwa na serikali yenye idadi sahihi ya watumishi na wanaowajibika na kukidhi matarajio ya watz.

Nways, all in all, sioni matumaini ktk maelezo yake maana mi nilitegemea angezungumzia mambo uchumi zaidi, kwamba ana mikakati gani ambayo sasa haipo. Nimeongea mara nyingi kwamba seruikali lazima iwe na pesa na mipango ya kuwa na pesa, bila hivo serikali haina sababu ya kuwepo maana ni mzigo. Hatuhitaji tena kuwa na serikali ambayo ni baba-suruali...haina pesa, kila siku kuombaombaombaomba.. Angepaswa kutufafanua what have been thought through kwene mambo ya madini, fossil fuels, kilimo, biashara na viwanda, na ultimately jinsi ya kuivuta jamii kutoka kwenye lindi la umaskini wa kutupa.

Una haki ya kuwasiliana na Dr Slaa kupata ufafanuzi. Serikali tatu ina Mantiki na Gharama zitapungua hasa kwa kuondoa ushikaji kwenye muundo wa CCM unaoelea elea usio na lengo la Tija ila ujanja ujanja tu
 
Kwa mala ya kwanza niliposikia Dr slaa ameteuliwa kuwa mgombea wa urais kupitia chadema niliamini zile zama za ujanja ujanja wa chadema zinaelekea kuisha,yapo mabo sas yananifanya nianze kupoteza imani na daktari huyu mlumi na msomi sana aliyejaliwa kipaji cha kusema.Hakuna jipya ambalo mh huuyu anonesha atafanya zaidi ya kujalibu kuhubili chuki na udanganyifu kwa watu,iwapo utachukua mifano michache tu ambayo nimemsikia kiongea 1)anadai kufuta wakuu wa mikoa kwa kuwa ni gharama! lazima ujue mkoa maana yake ni nini, iwapo unaufuta maana yake unaondoa mamlaka kwa mtu fulani na kuyapeleka kwa mtu mwingine bado tatizo liko palepale kwa kuwa atakae pewa lazima apewe status inayoonyesha kuwa huyu ndiye mwakilishi wa nkoa,vinginevyo nchi nzima itaanza kuongozwa kutokea dsm?
2) Marekani huwezi kuitumia kuwa mfano wa Tanzania au nchi yoyote Afrika,marekani inaundwa na states ambazo kila moja inamamlaka kamili kama nchi na siyo mkoa au wilaya,na katika kila state kuna mikoa na wilaya,ndiyo maana baraza lao la mawaziri ni dogo.ushauri wangu Dr slaa inaonekana huna hoja jalibu tena kutafuta maneno ya kusema maana huna jipya.

Mbona hukuchua fomu ugombee uraisi utupe hoja zako?
 
Watu kama nyie ndiyo hatari zaidi ya Wakulima. Mnajifanya mmesoma na uelewa wa vitu lakini ukweli ni kuwa au unadanganya au HUJUI KITU na heri ukapate ze Bia na ulale salama.

1. Tanzania nayo ni Muungano wa States mbili yaani Tanganyika na Zanzibar.

2. Kuna watu Wawili wanafanya kazi hiyohiyo. Mkuu wa wilaya na Mbunge, wanafanya kazi hiyohiyo..............
Kwa mala ya kwanza niliposikia Dr slaa ameteuliwa kuwa mgombea wa urais kupitia chadema niliamini zile zama za ujanja ujanja wa chadema zinaelekea kuisha,yapo mabo sas yananifanya nianze kupoteza imani na daktari huyu mlumi na msomi sana aliyejaliwa kipaji cha kusema.Hakuna jipya ambalo mh huuyu anonesha atafanya zaidi ya kujalibu kuhubili chuki na udanganyifu kwa watu,iwapo utachukua mifano michache tu ambayo nimemsikia kiongea 1)anadai kufuta wakuu wa mikoa kwa kuwa ni gharama! lazima ujue mkoa maana yake ni nini, iwapo unaufuta maana yake unaondoa mamlaka kwa mtu fulani na kuyapeleka kwa mtu mwingine bado tatizo liko palepale kwa kuwa atakae pewa lazima apewe status inayoonyesha kuwa huyu ndiye mwakilishi wa nkoa,vinginevyo nchi nzima itaanza kuongozwa kutokea dsm?
2) Marekani huwezi kuitumia kuwa mfano wa Tanzania au nchi yoyote Afrika,marekani inaundwa na states ambazo kila moja inamamlaka kamili kama nchi na siyo mkoa au wilaya,na katika kila state kuna mikoa na wilaya,ndiyo maana baraza lao la mawaziri ni dogo.ushauri wangu Dr slaa inaonekana huna hoja jalibu tena kutafuta maneno ya kusema maana huna jipya.
 
Ndugu yangu soma vizuri hiyo cameron's governments. Inaonekana hata wewe mwenyewe huelewi unachosema. Kuna tofauti kati ya great Britain(England, wales and Scotland) and united kingdom(Britain and northern Ireland) statistics za 2007 zinaonyesha kwamba united kingdom(Britain and northern Ireland ) inazaidi ya watu mil 61
na ukiweka Great Britain ni wengi kabisa, ni kweli wanaweza wasifike mil 300. Elewa concept ya Silaa, kwa nchi masikini kama tanzania kuwa na baraza la mawaziri kiasi hicho na population ndogo ni kupoteza fedha nyingi bila sababu ya maana, Sijuhi kama unanielewa. Hapa sio swala la Ushabiki,fahamu mambo ndugu yangu. Ni kweli kabisa hawana mawaziri zaidi ya 20.

Inaelekea umeenda wikipendia na ukashindwa kuelewa walichoandika.
BBC News - United Kingdom country profile


The United Kingdom ni England, Northern Ireland, Wales na Scotland na ndio ina watu around 61M. Ukisema Great Britain kikawaida una maana UK minus Northern Ireland, kwahiyo population yake itakuwa chini ya hiyo 61M.
 
Mimi nimehesabu mawaziri (cabinet secretaries) wakafika 15. Solomon yuko sahihi kuliko wewe hapa. Unless kama umehesabu wakafika 20. Wewe unaona wangapi hapo?


Mwalimu J.K. Nyerere alipounda Serikali yake alikuwa na Wizara 10 tu iweje leo wizara 20 ishindikane? Kwa kujikumbusha wizara zenyewe zilikuwa hizi hapa:

1. Waziri Mkuu – J. K. Nyerere
2. Waziri wa Fedha.
3. Waziri wa Mambo ya Sheria.
4. Waziri wa Afya na Kazi
5. Waziri wa Mambo ya Ndani
6. Waziri wa Njia, Umeme na Majengo
7. Waziri wa Biashara na Viwanda
8. Waziri wa Kilimo
9. Waziri wa Elimu
10. Waziri Asiye na Wizara Maaalum – R. M. Kawawa
11. Waziri wa Ardhi, Misitu na Wanyamapori
12. Waziri wa Serikali za Mitaa
 
Katiba mpya ya Kenya imepunguza baraza la mawaziri na kuliwekea ukomo ili kumzuia Rais kujaza jamaa zake kwa gharama ya wananchi
 
Hivi ndivyo ilivyoandikwa wakati akihojiwa na Daily News, soma Daily news ya Friday August 27, 2010

He criticised President Jakaya Kikwete for maintaining a huge cabinet. He said the United States with a population of over 300 million has only 14 ministers, while Britain has 20.

Please quote Dr. Slaa himself not these skewed sources, unless you are also ....... because the fact remains that the cabinet is larger than it can responsibly be supported, it is incompetent, scandalous, worse they have imposed government responsibilities with unimplementable ccm wish lists(kishkaji). Who ever you are be objective some of us have worked with all four gvts. Remember Nyerere advert that they have failed to sustain the good achievements focused to serving wananchi.
 
Back
Top Bottom