security guard
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 799
- 603
Jeshi la Polisi ni jeshi linalolinda usalama wa raia na mali zake, na ieleweke kuwa dhamana waliopewa inatokana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Inapotokea raia mmoja anaona maisha yake yapo hatarini, jeshi linawajibu wa kukusanya taarifa muhimu ili kutekelea majukumu yake ya kuhakikisha usalama unadumishwa.
Sasa Katibu Mkuu wa Chadema Wilbroad Slaa anapokataa kuhojiwa na jeshi la polisi kwa madai kuwa hana imani nalo, Ni muhimu kujitanabaisha dhahili jeshi gani ana imani nalo, Al-Shabab au Boko Haramu?
Kwa kuwa ni kiongozi wa ngazi ya juu wa CHADEMA anayetaka kuongoza nchi, kitendo hicho kinachohamasisha hamasa ya umma kutotii sheria bila shuruti, umma hauoni umuhimu wa kutoka hadharani na kulaani????
Nchi yetu ina utawala wa sheria (Rule of Law). Labda mnaofahamu kusoma sheria na kuifafanua tusaidiane kwa hili.
Inapotokea raia mmoja anaona maisha yake yapo hatarini, jeshi linawajibu wa kukusanya taarifa muhimu ili kutekelea majukumu yake ya kuhakikisha usalama unadumishwa.
Sasa Katibu Mkuu wa Chadema Wilbroad Slaa anapokataa kuhojiwa na jeshi la polisi kwa madai kuwa hana imani nalo, Ni muhimu kujitanabaisha dhahili jeshi gani ana imani nalo, Al-Shabab au Boko Haramu?
Kwa kuwa ni kiongozi wa ngazi ya juu wa CHADEMA anayetaka kuongoza nchi, kitendo hicho kinachohamasisha hamasa ya umma kutotii sheria bila shuruti, umma hauoni umuhimu wa kutoka hadharani na kulaani????
Nchi yetu ina utawala wa sheria (Rule of Law). Labda mnaofahamu kusoma sheria na kuifafanua tusaidiane kwa hili.