Slaa kuanzisha jeshi lake ?

security guard

JF-Expert Member
Sep 27, 2011
799
603
Jeshi la Polisi ni jeshi linalolinda usalama wa raia na mali zake, na ieleweke kuwa dhamana waliopewa inatokana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Inapotokea raia mmoja anaona maisha yake yapo hatarini, jeshi linawajibu wa kukusanya taarifa muhimu ili kutekelea majukumu yake ya kuhakikisha usalama unadumishwa.

Sasa Katibu Mkuu wa Chadema Wilbroad Slaa anapokataa kuhojiwa na jeshi la polisi kwa madai kuwa hana imani nalo, Ni muhimu kujitanabaisha dhahili jeshi gani ana imani nalo, Al-Shabab au Boko Haramu?

Kwa kuwa ni kiongozi wa ngazi ya juu wa CHADEMA anayetaka kuongoza nchi, kitendo hicho kinachohamasisha hamasa ya umma kutotii sheria bila shuruti, umma hauoni umuhimu wa kutoka hadharani na kulaani????

Nchi yetu ina utawala wa sheria (Rule of Law). Labda mnaofahamu kusoma sheria na kuifafanua tusaidiane kwa hili.
 
tatizo hana imani na jeshi hilo, mi naona haja kirupuka ametoa fact. wamjibu kwanza aliyo sema thn watamuhoji
 
Jeshi la Polisi ni jeshi linalolinda usalama wa raia na mali zake, na ieleweke kuwa dhamana waliopewa inatokana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Inapotokea raia mmoja anaona maisha yake yapo hatarini, jeshi linawajibu wa kukusanya taarifa muhimu ili kutekelea majukumu yake ya kuhakikisha usalama unadumishwa.

Sasa Katibu Mkuu wa Chadema Wilbroad Slaa anapokataa kuhojiwa na jeshi la polisi kwa madai kuwa hana imani nalo, Ni muhimu kujitanabaisha dhahili jeshi gani ana imani nalo, Al-Shabab au Boko Haramu?

Kwa kuwa ni kiongozi wa ngazi ya juu wa CHADEMA anayetaka kuongoza nchi, kitendo hicho kinachohamasisha hamasa ya umma kutotii sheria bila shuruti, umma hauoni umuhimu wa kutoka hadharani na kulaani????

Nchi yetu ina utawala wa sheria (Rule of Law). Labda mnaofahamu kusoma sheria na kuifafanua tusaidiane kwa hili.

Dr Slaa ana maanisha kuwa hakuna jeshi la Polisi la serikali, bali kuna jeshi la Polisi la CCM. Tunataka jeshi la polisi linalowajibika kwa serikali. Jeshi la polisi la serikali lingeshatoa ripoti ya kifaa alichowekewa Dr Slaa Dodoma- la ccm mpaka leo halijatoa ripoti yo yote.
Jeshi la Polisi la serikali lingeshawakamata watesaji wa Ulimboka - la ccm mpaka sasa hamna kitu,
Jeshi la Polisi la serikali lingeshakamata waliomtia tindikali kubenea na mwenzake.
Waliopo ni Jeshi la polisi la m/kiti wa Taifa wa CCM Mh. Jakaya M. Kikwete - siyo la Serikal.
DR Slaa hataki kuanzisha jeshi lake, anataka jeshi la polisi la serikali, lisilo na Chama cho chote- lisiloongozwa na ccm. Lililopo ni la ccm. Elewa mkuu.
 
Jeshi la Polisi ni jeshi linalolinda usalama wa raia na mali zake, na ieleweke kuwa dhamana waliopewa inatokana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Inapotokea raia mmoja anaona maisha yake yapo hatarini, jeshi linawajibu wa kukusanya taarifa muhimu ili kutekelea majukumu yake ya kuhakikisha usalama unadumishwa.

Sasa Katibu Mkuu wa Chadema Wilbroad Slaa anapokataa kuhojiwa na jeshi la polisi kwa madai kuwa hana imani nalo, Ni muhimu kujitanabaisha dhahili jeshi gani ana imani nalo, Al-Shabab au Boko Haramu?

Kwa kuwa ni kiongozi wa ngazi ya juu wa CHADEMA anayetaka kuongoza nchi, kitendo hicho kinachohamasisha hamasa ya umma kutotii sheria bila shuruti, umma hauoni umuhimu wa kutoka hadharani na kulaani????

Nchi yetu ina utawala wa sheria (Rule of Law). Labda mnaofahamu kusoma sheria na kuifafanua tusaidiane kwa hili.

Mkuu wewe binafsi una imani na jeshi hlo especially kama kuna ishu inayohusu serikali na ccm!?
 
Jeshi la Polisi ni jeshi linalolinda usalama wa raia na mali zake, na ieleweke kuwa dhamana waliopewa inatokana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Inapotokea raia mmoja anaona maisha yake yapo hatarini, jeshi linawajibu wa kukusanya taarifa muhimu ili kutekelea majukumu yake ya kuhakikisha usalama unadumishwa.

Sasa Katibu Mkuu wa Chadema Wilbroad Slaa anapokataa kuhojiwa na jeshi la polisi kwa madai kuwa hana imani nalo, Ni muhimu kujitanabaisha dhahili jeshi gani ana imani nalo, Al-Shabab au Boko Haramu?

Kwa kuwa ni kiongozi wa ngazi ya juu wa CHADEMA anayetaka kuongoza nchi, kitendo hicho kinachohamasisha hamasa ya umma kutotii sheria bila shuruti, umma hauoni umuhimu wa kutoka hadharani na kulaani????

Nchi yetu ina utawala wa sheria (Rule of Law). Labda mnaofahamu kusoma sheria na kuifafanua tusaidiane kwa hili.


:israel:SAWA KABISA tuko nyuma yako RAIS WETU WA ROHO - hiyo ni lazima kwa sababu sisi wananchi tumeshoka na JESHI na POLISI hili ya CHAMA CHA MAFIA. Kuliko tufe tuko tayari kuingia misituni kabisa bila kulipua chochote. MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI CHADEMA. SISI TUKO NA MUNGU na atuendi kwa Waganga kupata Cheo wala Madaraka. CHADEMA HOYEEEEE; SLAAAA BOMBAAAAA, MUNGU AWABARIKI WANA CHADEMA. Misitetereki kabisa Wala wasiwatishe Kamwe watapambana na MUNGU
 
Jeshi la Polisi ni jeshi linalolinda usalama wa raia na mali zake, na ieleweke kuwa dhamana waliopewa inatokana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Inapotokea raia mmoja anaona maisha yake yapo hatarini, jeshi linawajibu wa kukusanya taarifa muhimu ili kutekelea majukumu yake ya kuhakikisha usalama unadumishwa.

Sasa Katibu Mkuu wa Chadema Wilbroad Slaa anapokataa kuhojiwa na jeshi la polisi kwa madai kuwa hana imani nalo, Ni muhimu kujitanabaisha dhahili jeshi gani ana imani nalo, Al-Shabab au Boko Haramu?

Kwa kuwa ni kiongozi wa ngazi ya juu wa CHADEMA anayetaka kuongoza nchi, kitendo hicho kinachohamasisha hamasa ya umma kutotii sheria bila shuruti, umma hauoni umuhimu wa kutoka hadharani na kulaani????

Nchi yetu ina utawala wa sheria (Rule of Law). Labda mnaofahamu kusoma sheria na kuifafanua tusaidiane kwa hili.

Ni nini matumizi ya msitu wa Mabwepande? Nasikia huu msitu unamilikiwa na kulindwa na serikali, kulikoni? Naomba archeologist waende kuangalia kuna masalia ya wanyama kwenye msitu huo na ni kiasi chake!
 
Ingekuwa ni wewe Security Guard kila unaporipoti tatizo lako hakuna linalofanyika, utaendelea kutoa taarifa ili iweje? Naomba mwongozo.
 
Jeshi la Polisi ni jeshi linalolinda usalama wa raia na mali zake, na ieleweke kuwa dhamana waliopewa inatokana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Inapotokea raia mmoja anaona maisha yake yapo hatarini, jeshi linawajibu wa kukusanya taarifa muhimu ili kutekelea majukumu yake ya kuhakikisha usalama unadumishwa.

Sasa Katibu Mkuu wa Chadema Wilbroad Slaa anapokataa kuhojiwa na jeshi la polisi kwa madai kuwa hana imani nalo, Ni muhimu kujitanabaisha dhahili jeshi gani ana imani nalo, Al-Shabab au Boko Haramu?

Kwa kuwa ni kiongozi wa ngazi ya juu wa CHADEMA anayetaka kuongoza nchi, kitendo hicho kinachohamasisha hamasa ya umma kutotii sheria bila shuruti, umma hauoni umuhimu wa kutoka hadharani na kulaani????

Nchi yetu ina utawala wa sheria (Rule of Law). Labda mnaofahamu kusoma sheria na kuifafanua tusaidiane kwa hili.

Nadhani utagundua tofauti ya hoja yako na hoja ya Dr. Slaa. Wakati wewe unatoa mifano ya Al-Shabab na Boko Haram, yeye anakupa matukio ambayo Police iliwahi kuyashughulikia na mpaka sasa hayakupata majibu kwa sababu hayakuihusu CCM. Anataka uwajibikaji kwa Serikali na sio kwa CCM ili haki itendeke!!

Tujijengee utamaduni wa kujibu hoja. Hata wewe moyoni kabisa unafahamu uonevu wa Police na jinsi walivyogeuza matatizo ya raia kuwa mitaji. Jinsi Traffic Police walivogeuza kazi zao kama chanzo cha fedha!! Jinsi maafisa upelelezi wanavoweza kusuka ushahidi hafifu ili adhabu kwa mkosaji isiwepo kabisa au iwe ndogo kulingana na kosa.

Acha utani na mambo yanayohusu haki!!
 
Bora angeweka wazi jeshi ambalo anataka limhoji ndipo angeeleweka, tatizo anajishitukia baada ya kutoa taarifa za kubuni.
Tazama yuaja na mawingu na kila jicho litamuona, hata waliomchoma na kabila zote za watu wataomboleza.
 
Bora angeweka wazi jeshi ambalo anataka limhoji ndipo angeeleweka, tatizo anajishitukia baada ya kutoa taarifa za kubuni.
Tazama yuaja na mawingu na kila jicho litamuona, hata waliomchoma na kabila zote za watu wataomboleza.

Najua inawasumbua akili. Lakini itawachukua muda mrefu kung'amua anachowaambia Dr. Slaa. Uhuru wa fikra ndio utajiri mkuu anaopaswa kuwa nao binadamu. Security organs zetu 'zimenyimwa' uhuru huo, ndio maana haziwezi kuona wala kuelewa anachosema Dr. Slaa!
 
ana haki ya kukubali au kukataa kuhojiwa provided maelezo yake atatolea mahakamani.
 
Dr Slaa ana maanisha kuwa hakuna jeshi la Polisi la serikali bali kuna jeshi la Polisi la CCM. Tunataka jeshi la polisi linalowajibika kwa serikali. Jeshi la polisi la serikali lingeshatoa ripoti ya kifaa alichowekewa Dr Slaa Dodoma.

Jeshi la Polisi la serikali lingeshawakamata watesaji wa Ulimboka,
Jeshi la Polisi la serikali lingeshakamata waliomtia tindikali kubenea na mwenzake.
Waliopo ni Jeshi la polisi la m/kiti wa Taifa wa CCM Mh. Jakaya M. Kikwete - siyo la Serikal.

DR Slaa hataki kuanzisha jeshi lake, anataka jeshi la polisi la serikali, lisilo na Chama cho chote. Elewa mkuu.

Huo ndio ukweli mkuu.
 
Maoni hayo hapo juu yanatosha kabisa kuwafumbua akili ninyi CCM, lasivyo mtakuwa na masikio lakini hamsikii, mna akili lakini hazifunguki, mna macho lakini hamuoni.
Chama cha Mashetani, mnaua tu na kuzaa maneno mapya. Kukolimba, kukuulimboka, hiyo ndo legacy.
 
mkuu bakuza unaweza uctoe maelezo kwa polisi hasa kama huna imani nalo lakini dr kasema maelezo yake atatolea mahakamani.
 
Jeshi la polisi halina nidhamu limejaa rushwa limejaa u ccm limejaa vilaza limejaa majambazi! majambazi wengi wanatumia silaha za polisi! nenda kituoni ukiwa na tatizo dogo tu uangalie wanavodai rushwa, nenda barabarani matrafiki wanavodai rushwa;mtu akiwekwa mahabusu humtoi bila rushwa! jeshi sasa limekuwa la wauaji rejea swala swala la ulimboka! rejea mauaji ya kombe! hii ni mifano midogo tu! Je nani mwenye akili timamu atakayeliamini jeshi la aina hii hakuna!!
 
Jeshi la Polisi ni jeshi linalolinda usalama wa raia na mali zake, na ieleweke kuwa dhamana waliopewa inatokana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Inapotokea raia mmoja anaona maisha yake yapo hatarini, jeshi linawajibu wa kukusanya taarifa muhimu ili kutekelea majukumu yake ya kuhakikisha usalama unadumishwa.

Sasa Katibu Mkuu wa Chadema Wilbroad Slaa anapokataa kuhojiwa na jeshi la polisi kwa madai kuwa hana imani nalo, Ni muhimu kujitanabaisha dhahili jeshi gani ana imani nalo, Al-Shabab au Boko Haramu?

Kwa kuwa ni kiongozi wa ngazi ya juu wa CHADEMA anayetaka kuongoza nchi, kitendo hicho kinachohamasisha hamasa ya umma kutotii sheria bila shuruti, umma hauoni umuhimu wa kutoka hadharani na kulaani????

Nchi yetu ina utawala wa sheria (Rule of Law). Labda mnaofahamu kusoma sheria na kuifafanua tusaidiane kwa hili.

kwani Dr. Slaa peke yake!!, hata mimi siliamini!!, Ilo jeshi linatambua na kuheshimu hiyo dhamana ambayo wanayo kutokana na katiba au we ndio unasema!. Kama hiyo ndio sheria basi ujue hatuna jeshi la polisi la kulinda raia!, tuna kitu kingine............
 
Najua inawasumbua akili. Lakini itawachukua muda mrefu kung'amua anachowaambia Dr. Slaa. Uhuru wa fikra ndio utajiri mkuu anaopaswa kuwa nao binadamu. Security organs zetu 'zimenyimwa' uhuru huo, ndio maana haziwezi kuona wala kuelewa anachosema Dr. Slaa!

Tatizo hautamuelewa Slaa pamoja na siasa kwa sasa maana akili yako bado imefungwa katika upofu wa fikra. Hivi unadhani kama Slaa akipata nchi hata leo hii, atawaacha maadui zake watambe mitaani huku wakimchafua jina? Unadhani yeye hataamlisha polisi kumghasi mtu wa namna hiyo? Hivi huoni hata kile anakifanya sasa ndani ya chama pale anapofanya ziara mikoani na wilayani? Achana na sihasa(siasa).
Tazama yuaja na mawingu na kila jicho litamuona, na hao waliomchoma; na kabila zote za ulimwengu zitaombeleza kwa ajili yake, naam Amina.
 
Jeshi la Polisi ni jeshi linalolinda usalama wa raia na mali zake, na ieleweke kuwa dhamana waliopewa inatokana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Inapotokea raia mmoja anaona maisha yake yapo hatarini, jeshi linawajibu wa kukusanya taarifa muhimu ili kutekelea majukumu yake ya kuhakikisha usalama unadumishwa.

Sasa Katibu Mkuu wa Chadema Wilbroad Slaa anapokataa kuhojiwa na jeshi la polisi kwa madai kuwa hana imani nalo, Ni muhimu kujitanabaisha dhahili jeshi gani ana imani nalo, Al-Shabab au Boko Haramu?

Kwa kuwa ni kiongozi wa ngazi ya juu wa CHADEMA anayetaka kuongoza nchi, kitendo hicho kinachohamasisha hamasa ya umma kutotii sheria bila shuruti, umma hauoni umuhimu wa kutoka hadharani na kulaani????

Nchi yetu ina utawala wa sheria (Rule of Law). Labda mnaofahamu kusoma sheria na kuifafanua tusaidiane kwa hili.

Mbona ameshawaeleza wampeleke mahakamani!!, si wafanye hivyo kama wanajiamini na kazi zao!.
 
Back
Top Bottom