bhabkhan
Member
- Dec 22, 2022
- 25
- 34
Habari zenu wana JamiiForums,
Mm ni kijana miaka 22 , kuna katabia ninacho nahisi kama ni tabia hasi hivi. Nikiona dumu la asali tu mate yananitoka, hadi inafika wakati nikiona asali home najimiminia kwenye chupa nakaa nalo chumbani na ni mwendo wa kulamba tu.
Mwenye kujua, je haina madhara matumizi ya asali kupitiliza? Maana kuacha uongo
Mm ni kijana miaka 22 , kuna katabia ninacho nahisi kama ni tabia hasi hivi. Nikiona dumu la asali tu mate yananitoka, hadi inafika wakati nikiona asali home najimiminia kwenye chupa nakaa nalo chumbani na ni mwendo wa kulamba tu.
Mwenye kujua, je haina madhara matumizi ya asali kupitiliza? Maana kuacha uongo