Siwezi kuacha kulamba sukari

bhabkhan

Member
Dec 22, 2022
25
34
Habari zenu wana JamiiForums,

Mm ni kijana miaka 22 , kuna katabia ninacho nahisi kama ni tabia hasi hivi. Nikiona dumu la asali tu mate yananitoka, hadi inafika wakati nikiona asali home najimiminia kwenye chupa nakaa nalo chumbani na ni mwendo wa kulamba tu.

Mwenye kujua, je haina madhara matumizi ya asali kupitiliza? Maana kuacha uongo
 
Habari zenu wana jamii forum
Mm ni kijana miaka 22 , kuna katabia ninacho nahisi kama ni tabia hasi hivi . Nikiona dumu la asali tu mate yananitoka, hadi inafika wakat nikiona asali home najimiminia kwenye chupa nakaa nalo chumbani na ni mwendo wa kulamba tu
Mwenye kujua,je haina madhara matumizi ya asali kupitiliza? Maana kuacha uongo
Hakuna shida kabisa kuna kipindi kitafika hamu itakata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom