Kwa kweli ni aibu tupu kwa Mtu kama Six tena mwanasheria Mzuri tu, lakini anasaliti umma na watu wake wa Urambo kwa kisheti, wenzie wamekula mabilioni , yeye kambulia kisheti, na watu wake wa Urambo wanateseka.
Anakuwa kama Samuel Kiviutu yule wa ECK ya Kenya, tena nafikiri walikuwa UDSM pamoja, sasa sijui walifundishwa kula Visheti badala ya kusimamia Sheria na Kusimama kama wanaume.
Maana ukiangalia na kule kwa Ndugu zetu wa Kenya, Kibaki na team yake Mafisadi, kiviutu anaishia kupata Makombo.
Anakuwa kama Samuel Kiviutu yule wa ECK ya Kenya, tena nafikiri walikuwa UDSM pamoja, sasa sijui walifundishwa kula Visheti badala ya kusimamia Sheria na Kusimama kama wanaume.
Maana ukiangalia na kule kwa Ndugu zetu wa Kenya, Kibaki na team yake Mafisadi, kiviutu anaishia kupata Makombo.