ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,460
tutasikia mengi - wamemnunua ka mzee wa kiraracha kusadia kutafuta support ya umma. Sisi tunavyojua Sitta alikuwa sahihi - na kutubadilisha mawazo mfanye kazi ya ziada. tatizo sita hataki tu kutoka kwenye li chama lenu - halina jipya tumeshachoka.
Binafsi sioni kosa la Samweli - ukweli utawauma na mtatafuta vijitabu na vijisababu vingi tu ili aonekane ana makosa katika jamii - kazi mnayo ila muda ni mfupi sana.
kavuruga bunge au bunge lenyewe ndiyo limejivuruga?
Binafsi sioni kosa la Samweli - ukweli utawauma na mtatafuta vijitabu na vijisababu vingi tu ili aonekane ana makosa katika jamii - kazi mnayo ila muda ni mfupi sana.
kavuruga bunge au bunge lenyewe ndiyo limejivuruga?