msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,067
- 1,136
Sitta kakosea wapi?? Hata kama alikuwa amepanga kuzungumza kuhusu mitihani kubadilika, asingeweza kukwepa kuwaelewesha hawa watoto uozo wa CCM!! Ina maana ukiwa CCM hata kama unaona uozo unatakiwa kusifia as if huelewi?? Kweli CCM imekwisha, na kifo chake kitakuwa ni "natural death", no body can save CCM from death. Lets hold, it's a matter of time!!