- Thread starter
- #161
umechemka mkuu kuongeza mke nisehemu ya tatiyo unalojijiongezea ushauri wangu kuliko uogenye nibora umuache kwanza huyo japo pia sikushauri umuache tafuta chanzo isije kua wewe nichanzo huyo
Ahsante kwa ushauri wako lakini mimisi wewe pengine tuna fikira tofauti. Kwangu kwenda mbele ni maendeleo na maendeleo lazima yawe na changamoto. Mimi si wa kukimbia changamoto nikishakujipima.