asante mkuu, japo upande wenu umejipendelea sana ila nimejibu haya tu kwa leo:
1. Hii inaonyesha kuwa una mapenzi na hivyo vitu kuliko mkeo, je mama akifanya hivyo wewe utajisikiaje.
2. Kwa hiyo hata mimi mkeo nikivaa nakuacha manyonyo nje, au nikivaa kamini mapaja nje nje ina maana bado utavunja shingo tu.
3. Hee hivi kwanini mnadeka hivyo, kumbe hampendi kuulizwa eeh, na mtaulizwa tu.
Wanaume banaa,mko very selfish. Yaani sie unakuta unaangalia series yako na yeye ana blah blah kitu unachokiona si cha maana hata kidogo unaendelea na kumskiza. Au anaomba chai,asipoletewa mashtaka jf!
Hiyo ya kuangalia mi ndo nakustua kabisaa hebu angalia wowowo lile,boobs za maana. Ajabu unajiuma eti ooh,mi sijaona! Sijui mnatakaje bana,aaah!
Yaani wewe una tabia kama za mke wangu. Huwa ananikera kama nini na hayo mambo yake ya Tamthilia, lakini mimi nikiangalia mpira inakuwa nongwa. Na ndio maana huwa naenda kuangalizia Mpira Baa.Wanaume banaa,mko very selfish. Yaani sie unakuta unaangalia series yako na yeye ana blah blah kitu unachokiona si cha maana hata kidogo unaendelea na kumskiza. Au anaomba chai,asipoletewa mashtaka jf!
Hiyo ya kuangalia mi ndo nakustua kabisaa hebu angalia wowowo lile,boobs za maana. Ajabu unajiuma eti ooh,mi sijaona! Sijui mnatakaje bana,aaah!