..........ni la nani...............
mh kazi ipo wewe ndio una udini na ukabila ndio maana ulipoona hayo majina umeyasoma kwa tafsiri ya dini na kabila. watu wenye mtazamo kama wako ni hatari kwa taifa letu.Huyu jamaa Dr. Slaa HAFAI kuwa rais hata kidogo. Analeta UDINI mkubwa sana, angalia hayo majina ni ya watu wa KABILA lake tu na DINI yake.