Siri ya spika makinda kukwepa kugombea ubunge yaanikwa

Magamba in action.Hafai!

Lutondwe, tafuteni mbunge wa kuwawakilisha wana njombe bungeni, maana sasa hivi jimbo la njombe halina mwakilishi bungeni, kwani sijawahi kumsikia hata siku moja mama makina akiuliza swali pale mjengoni. Tunayemtaka sisi huku ludewa tunamjua. Acha chuki zako, binafsi, kaka.
 
huyo kimsingi hata kwa bure hatakiwi Ludewa,mkoa mpya wa Njombe umepatikana.Mbunge wa magharibi yeye amejikatalia kuwa wananchi hawakumchagua bali NEC.

Lutondwe, ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe. Kiswahili hujui, utajua siasa?
 
waacheni wazee wapumzike,tangu mwaka 1975 mpaka leo! si mchezo matokeo yake ni fikra mgando mjukuu kuzaliwa
 
Nimefurahishwa sana na kiwango cha uelewa na uzalendo walichoonyesha wana njombe! Mama kaenda na hoja mbofu mbofu, lakini wananjombe wakambana kwa mswali ya msingi sana ! Hakika saa ya ukombozi imekaribia.
 
Deo filikunjombe anakubalika kwa vitendo vyake. Kimsingi ukitaka kupigwa mawe au kuhatarisha amani yako mbele ya wananchi wa ludewa, msemee mbovu filikunjombe mbele yao. Amefanya mengi kuliko mbunge yeyote yule katika muda mfupi. Binafsi ningependa mwaka 2015 achukue nchi kama raisi. Tutaendelea kwa kasi ya ajabu. Tunahitaji raisi kijana. Filiku jombe gombea, tupo nyuma yako.
 
Deo filikunjombe anakubalika kwa vitendo vyake. Kimsingi ukitaka kupigwa mawe au kuhatarisha amani yako mbele ya wananchi wa ludewa, msemee mbovu filikunjombe mbele yao. Amefanya mengi kuliko mbunge yeyote yule katika muda mfupi. Binafsi ningependa mwaka 2015 achukue nchi kama raisi. Tutaendelea kwa kasi ya ajabu. Tunahitaji raisi kijana. Filiku jombe gombea, tupo nyuma yako.

Mkuu,
Hapo kwenye maandiko mekundu, orodhesha hayo aliyoyafanya Filikunjombe ili tuendelee na mjadala. Ndipo hoja inapoanzia hapo. Pamoja
 
"Tunamshangaa sana mbunge wetu Makinda kwa uamuzi wake wa kutangaza kutogombea .... kiukweli hata asingetangaza msimamo wetu wapiga kura wa jimbo la Njombe kusini japo hatukuweka wazi ila ilikuwa ni kumpiga chini katika kura za maoni sisi kwa sasa mbunge wetu ni kamanda wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Njombe Deo Mwanyika ambaye amekuwa akiendelea kuhamasisha maendeleo jimboni "

Kuna nini kwenye siasa? mbona deo mwanyika yupo safi sana kifedha? Anataka kulinda fedha zake alizopata huko barick? Hivi deo amekuwa kichaa? Maana si kawaida mtu kuacha kazi yenye mshahara mnono wa barrick na kwenda kwenye kazi ya mshahara duni kama wa kibunge. Naanza kukosa imani kabisa na siasa za Tz.

Hivi kwenye siasa kuna nini ambacho sisi hatukijui? Please, let me know.
 
Kwani wabunge wameigia bungeni kwa ajili ya posho? mimi nashindwa kuwaelewa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom