Siri ya Mwenge wa Uhuru

Kama moja yakazi za MWENGE nipamoja na kuwamulika WANYONYAJI,basi kuna umuhimu wa kuongeza utambi mwingine ili mwanga uongezeke! lakin kwa huu uliopo umeshindwa kabisa kuwamulika wanyonyaji.Tanganyika imejaa viongozi wanyonyaji inakuwaje MWENGE hauwamuliki badala yake unawamulika watu wasio kuwa na hatia kama Mwangosi?
Mimi naongelea concept ya mwenge sio kama jamaa anavyo wandanganya watu mchana kweupe kuwa ni ibaada ya mashetani. Inamaana Watanzania ni mashetani?
 
Cardinary Pengo,Maaskofu mapadre,wachungaji kama kina Mwingira,Mzee wa upako,kolola,na wengine wengi ambao mnaanza na utumishi wa Mungu,Shehe mkuu wa Tanzania Simba wanamapinduzi wa kiislamu kama Ponda na kikundi chako waumini wa dini zote kasoro wapagani kwanini mmekaa kimya wakati taifa linapokea laana ya Mwenyezi Mungu kila mwaka kwa kulipeleka kwenye madhabahu za shetani anayetembea kuabudiwa na kusujudiwa na CCM aitwaye MWENGE WA UHURU.

Wakati anaambukiza ukimwi watu wetu, anawatesa wazazi wetu huko vijijini na kusimika viongozi mashetani katika taifa hili?Hivi mmewahi kujiuliza kwanini taifa hili haliendelei?Ni laana zitokazo kwa mungu wa Ccm itwaye mwenge hivyo kama kweli mnalitakia mema taifa hili Hubirini waumini wenu wakatae ibada ya mungu-mwenge na kasisi wake Ccm ili tuokoke na balaa hili!Wabilah tofiq asalaam aleykum wallahmatullah wabarakat!Atukuzwe baba na mwana na roho mtakati Aaaaaamen!!!!


Sina uhakika kama mnajua mliongealo, unapo jumuisha viongozi wa dini huna abari kuwa nawao wana misingi yao katika endeshaji wa dini zao? mwenge umekuwa damaduni za kitanzania hivyo ni vigumu kuepukika, Remember that the pumpkin of homesteaded should be not uprooted.
 
mwenge huo mwenge, mbio mbio
mwenge huo mwenge, mbio mbio
mwenge tunaukimbiza, mbiombio

nkikumbuka primary tulikuwa tunakoseshwa masomo
wiki nzima kuandaa mazingira ya barabara eti mwenge upite
kwa sasa sio wa kuuendekeza tena inafaa tuuchome moto
 
Kwa uelevu nilionao ninatambua ya kwamba dhana nzima ya mbio za mwenge na uwepo wa mwenge unahusika moja kwa moja na ibada za kishetani. Sina uhakika sana na uwepo wa matambiko huko Rombo kama ulivyotabainisha.
Kwa babu na wazee wetu wenye uelewa na nini kilifanyika wakati Tanzania inakaribia kupata uhuru na siku ya 9/12 wanaeleza wazi jinsi Taifa hili lilivyokabidhiwa kwa mashetani na yule ambaye Watanzania zaidi ya 70% walikuwa wakimtukuza kama Baba yao, (Kambarage).
Kuna ushahidi ambao Kambarage ameshawahi kuutamka mbele ya kadamnasi jinsi alivyozindikwa na wazee wa Mzizima(mafundi wa jiji) kabla ya kwenda UN.
Siku mmoja wa wanajeshi wa Tanzania(nadhani kwa jina atakua anaitwa Nyirenda kama sijakosea) alipopandisha mwenge na bendera ya Taifa kwenye kilele cha mlima mrefu kuliko yote barani Afrika, ndiyo siku Tanzania ilipojikabidhi rasmi kwa baba wa uovu, na kwa heshima hiyo Taifa letu likatunukiwa heshima kubwa katika vyeo vya kichawi Afrika.

Wenye nguvu zaidi tumeshazivunja hizo nguvu na laana zinazoambatana nazo na sasa tuko huru ndiyo maana unaona down fall ya uongozi wa CCM. So relax subiri kuijenga nchi yako!
 
Hauna jipya zaidi ya kuabudu mashetani. Kuna taarifa rasmi kuwa Mwenge huo unapofika Rombo-Kilimanjaro hufanyiwa tambiko mablimbali ili kulinda viongozi wa nchi.

Taarifa zinaonesha kuwa kuna Wazee maalum wameandaliwa kule Rombo kwa ajili ya matambiko haya kila mwaka.Mmoja wa wazee hao aitwaye Mzee Malamsha amenithibitishia hicho.

Kwenye matambiko hayo,kafara hutolewa.Na kadhalika na kadhalika.Ndio maana,kila mwaka Mwenge wa Uhuru lazima ukimbizwe Mkoa wa Kilimanjaro na kufika Wilaya ya Rombo.

Mwenge huu ni wa kuupiga vita. Unaleta laana zaidi ya baraka. Unatubakisha kama nchi kwenye kuabudu mizimu badala ya kusonga mbele kimaendeleo.

Laana za Mwenge huu ndizo zinazotufanya tusieendelee. Ni muda sasa wa kuachana na imani hizi za kishirikina kwa kuachana na Mwenge huu.

Mkuu, ni Mungu aliye kufunulia hili! Mwenge ni laana kubwa! na ni ibada kwa mzimu wa nyamurunda, tutake tusitake ni hivyo! mwenge unawekwa na wasionaufahamu wanauzunguka huku wanaselebuka daah! unauzunguka moto huku unacheza? hee! Taifa lisipoomba toba tutaangamia hakika!
 
kwanza asili za mwanzo za mwenge ni ugiriki nadhani kila mtu anaona hali ya ugiriki hii leo,kukazia pointi hata mwenge waolimpiki una asili ya ugiriki ukibeba jina la mmoja wa miungu saba wa ugiriki aliyeitwa olimpoko,ambapoilikuwa ni moja ya ibada ya kumtukuza olimpoko.kwa kuangalia historia ya mwenge kuendelea kuuendekeza ni kujiendelezea nuksi tu humu nchini.

Lakini kwa sababu tunaongozwana viongozi ambao asili yake ni ushirikina wacha waendelee kuuabudu.na ushirikina wao unaonesha jinsi nchi yetu inavyozidi kuzama na kudidimia.na kudhihirisha ushirikina na ushetani wao hawajali chochote kinachotokea na zaidi wameanza tabia ya kumuua kila anayewapinga kwa haki.
 
Niliishi katika wakati ambapo wazee kijijini walikuwa hawamudu kununua shati na wanatembea na mashati yaliyobakia msitari wa vifungo tu kama uti wa mgogo wa samaki.....lakini wakati huo huo huchangia kwa ari mafuta ya mwenge!
 
Hebu waulize watu wa Tarime kuhusiana na kikimbiza vijinga vya moto toka kaya nyingine hadi nyingine. Hufanyika hivyo kwa imani za kishirikina. Watu wengine wasioelewa wanabeza ukubali usikubali Mwenge ni uchawi wa rais wa kwanza na chama chake. Kama mwenge unamurika mafisadi si wangekuwa wameisha humu? Kweli mwenge unafaa upigwe marufuku
 
Mwenge ulimulika wanyonyaji kipindi kile cha mwl, sasa hivi unawamulika wanyonge. Ndiyo maana hauna effect kwa wanyonyaji ila una wa affect wanyonge, u got it?
 
Kama moja yakazi za MWENGE nipamoja na kuwamulika WANYONYAJI,basi kuna umuhimu wa kuongeza utambi mwingine ili mwanga uongezeke! lakin kwa huu uliopo umeshindwa kabisa kuwamulika wanyonyaji.Tanganyika imejaa viongozi wanyonyaji inakuwaje MWENGE hauwamuliki badala yake unawamulika watu wasio kuwa na hatia kama Mwangosi?

Mimi nianzie hapo mkuu..kweli kama haujaweza fikia malengo na maadui wanazidi kuwa majasiri wanasogea karibu bila gofu,pengine bado mwenge si nuru bali giza kama si kutotosha kabaisa.
 
Niliishi katika wakati ambapo wazee kijijini walikuwa hawamudu kununua shati na wanatembea na mashati yaliyobakia msitari wa vifungo tu kama uti wa mgogo wa samaki.....lakini wakati huo huo huchangia kwa ari mafuta ya mwenge!

duh umenikumbusha mbali saa, kipindi hiki viraka katika makalio ilikuwa kitu cha kawaida, kwa nje namwota tozi kavaa jeans yenye viraka.Ila zamani ilikuwa si fasheni wala hiari .

mwenge ni ushirikina kama ilivyo ujamaa/ucommunist...ujamaa pamoja na kwamba Nyerere alijitahidi utakasa ila bado hakuweza utoa uti wa mgongo wake.Ndio watanzania wengi wanalalamikia serikali kila kitu kwa vile wanaamini ndio tegemeo lao,ndiye mweza yote.sikiliza kilo cha kila raia toka kila idara.
 
Naanza kuamini kuwa ndio maana inatumika nguvu kubwa ya KUIUA TANGANYIKA na historia yake?????????
Cardinary Pengo,Maaskofu mapadre,wachungaji kama kina Mwingira,Mzee wa upako,kolola,na wengine wengi ambao mnaanza na utumishi wa Mungu,Shehe mkuu wa Tanzania Simba wanamapinduzi wa kiislamu kama Ponda na kikundi chako waumini wa dini zote kasoro wapagani kwanini mmekaa kimya wakati taifa linapokea laana ya Mwenyezi Mungu kila mwaka kwa kulipeleka kwenye madhabahu za shetani anayetembea kuabudiwa na kusujudiwa na CCM aitwaye MWENGE WA UHURU.

Wakati anaambukiza ukimwi watu wetu, anawatesa wazazi wetu huko vijijini na kusimika viongozi mashetani katika taifa hili?Hivi mmewahi kujiuliza kwanini taifa hili haliendelei?Ni laana zitokazo kwa mungu wa Ccm itwaye mwenge hivyo kama kweli mnalitakia mema taifa hili Hubirini waumini wenu wakatae ibada ya mungu-mwenge na kasisi wake Ccm ili tuokoke na balaa hili!Wabilah tofiq asalaam aleykum wallahmatullah wabarakat!Atukuzwe baba na mwana na roho mtakati Aaaaaamen!!!!
 
Kwanini uwe mjinga? Kwanini usitumie akili? Kwanini ufikirie kuwa kunamashetani?Mwenge wa Uhuru haunaconnection na imani ya aina yote.Halafu baadae utasema kumpigia saluti raisi ni kumuabudu.Dhana ya mwenge wa uhuru ni kuwamulika wanyonyaji wote na kuleta mshikamano.Hivi umezaliwa mwaka gani vile?Ondoa imani potofu ndani ya akili zako.Kwani wazee kuchinja mbuzi au kondoo ndio kuabudi mashetani?Hiyo ni ishara ya furaha na Mlima kilimanjaro ndio mrefu kuliko yote Africa.
unapojibu jiulize yanayosemwa unayajua usijibu kwa kutumia akili ya ugali,think out of the box kwanza au ungekuwa mbele ya wazee unaambiwa ww haujakua bado.temea chini kijana
 
Hebu waulize watu wa Tarime kuhusiana na kikimbiza vijinga vya moto toka kaya nyingine hadi nyingine. Hufanyika hivyo kwa imani za kishirikina. Watu wengine wasioelewa wanabeza ukubali usikubali Mwenge ni uchawi wa rais wa kwanza na chama chake. Kama mwenge unamurika mafisadi si wangekuwa wameisha humu? Kweli mwenge unafaa upigwe marufuku
Hapo kwenye red?
 
mwenge huo mwenge, mbio mbiomwenge huo mwenge, mbio mbio mwenge tunaukimbiza, mbiombionkikumbuka primary tulikuwa tunakoseshwa masomo wiki nzima kuandaa mazingira ya barabara eti mwenge upitekwa sasa sio wa kuuendekeza tena inafaa tuuchome moto
hivi pale makumbusho ya taifa hakuna nafasi ya kuuegesha pale na ubakie kuwa ni kumbu kumbu tuu????autakaye kuuoma aingie pale.
 
Hauna jipya zaidi ya kuabudu mashetani. Kuna taarifa rasmi kuwa Mwenge huo unapofika Rombo-Kilimanjaro hufanyiwa tambiko mablimbali ili kulinda viongozi wa nchi.

Taarifa zinaonesha kuwa kuna Wazee maalum wameandaliwa kule Rombo kwa ajili ya matambiko haya kila mwaka.Mmoja wa wazee hao aitwaye Mzee Malamsha amenithibitishia hicho.

Kwenye matambiko hayo,kafara hutolewa.Na kadhalika na kadhalika.Ndio maana,kila mwaka Mwenge wa Uhuru lazima ukimbizwe Mkoa wa Kilimanjaro na kufika Wilaya ya Rombo.

Mwenge huu ni wa kuupiga vita. Unaleta laana zaidi ya baraka. Unatubakisha kama nchi kwenye kuabudu mizimu badala ya kusonga mbele kimaendeleo.

Laana za Mwenge huu ndizo zinazotufanya tusieendelee. Ni muda sasa wa kuachana na imani hizi za kishirikina kwa kuachana na Mwenge huu.

hilo neno kiongozi! MUNGU ATUSAIDIE KUYATAMBUA HAYA
 
Back
Top Bottom