Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,900
- 944
MBUNGE KAINJA - KARIBU WANANCHI WOTE WA MKOA WA TABORA TUUPOKEE MWENGE WA UHURU
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora, Mhe. Jacqueline Kainja Andrew anawakaribisha Wananchi wote wa Mkoa wa Tabora kushiriki Mapokezi ya Mwenge wa Uhuru ambao umeanza kuzindua miradi mbalimbali ndani ya Mkoa wa Tabora.
Mwenge wa Uhuru umepokelewa tarehe 14 Septemba, 2023 na utahitimisha ziara yake Tarehe 21 Septemba, 2023 katika Wilaya ya Igunga na kukabidhiwa kwenda Mkoa wa Singida tarehe 22 Septemba, 2023.
Kauli Mbiu ya Mwenge wa Uhuru mwaka 2023 - "Tunza Mazingira, Okoa Vyanzo vya Maji kwa Ustawi wa Viumbe Hai kwa Uchumi wa Taifa"
#UWTImara
#JeshiLaMama
#KaziIendelee
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora, Mhe. Jacqueline Kainja Andrew anawakaribisha Wananchi wote wa Mkoa wa Tabora kushiriki Mapokezi ya Mwenge wa Uhuru ambao umeanza kuzindua miradi mbalimbali ndani ya Mkoa wa Tabora.
Mwenge wa Uhuru umepokelewa tarehe 14 Septemba, 2023 na utahitimisha ziara yake Tarehe 21 Septemba, 2023 katika Wilaya ya Igunga na kukabidhiwa kwenda Mkoa wa Singida tarehe 22 Septemba, 2023.
Kauli Mbiu ya Mwenge wa Uhuru mwaka 2023 - "Tunza Mazingira, Okoa Vyanzo vya Maji kwa Ustawi wa Viumbe Hai kwa Uchumi wa Taifa"
#UWTImara
#JeshiLaMama
#KaziIendelee