simply hapa unaonekana wazi kuwa unamtamani huyo shemeji yako.Huwa mara kadhaa tunatoka outing na Mr wangu na rafiki yake (shemeji), illa huyu shemeji anatabia ambayo hainipendezi na nimeshamwambia siipendi ila hakomi hata. Huwa tukikaa kwenye meza yeye ananikanyaga miguu kila wakati na jamaa akitoka kidogo analeta vidole vyake mpaka kwenye nanihiiiii. Naogopa kumsemea sasa nifanyeje?
Haiwezekani aendeleze huo mchezo kama ungemwonesha kukwazika kikweli (naamin hata usipomsemea angeacha)
ongeza kasi zaa nae kabisa incase