Sipendi tabia ya shemeji yangu

Huwa mara kadhaa tunatoka outing na Mr wangu na rafiki yake (shemeji), illa huyu shemeji anatabia ambayo hainipendezi na nimeshamwambia siipendi ila hakomi hata. Huwa tukikaa kwenye meza yeye ananikanyaga miguu kila wakati na jamaa akitoka kidogo analeta vidole vyake mpaka kwenye nanihiiiii. Naogopa kumsemea sasa nifanyeje?
Mmmh...! Fingaring iz noti inafu...! givu him ool.
 
shika korodani zake, ziminye kwa nguvu hadi aseme yalaaaaaaaah, watu wakikuuliza kulikoni? Wajibu kuwa jamaa alikuwa amepagawa na raha za mbinguni.

mpelekee za kwko aziminyeeeee! Utamu utakaouckia umuelezee Not Enough ili ajichagulie adhb ya kumpa bweshe.
 
1.ukweli ni kuwa unampenda sana shemejio..........ushindwe.
2.bado kidogo utampa tu huna ujanja......ila jiandae kung'olewa meno au kuachwa.
3.hao hawagombani ng'o kwa ajili yako.si ajabu ukiguswaguswa jamaa kabana mahali anakucheki tu unavyojichekesha kwa rafiki yake.
 
Huna aja ya kumsemea.Wewe mwenyewe mkanye na umwambie kwa kumaanisha ,uwe serious na umwambie kama akiendelea kukugusa utamshtaki,huko kwa wenzetu huyu angeshtakiwa
 
kimini unachovaa,na paja lako zuri balaa nje nje hakuna mwanaume anaweza vumilia,lazima apapase
 
We si ni not enough? Endelea kuwabeba wote na hawatakutosha! Yaani jinsi unavyojibu hapa hata mtoto mdogo atajua unafanya usanii tu, halafu unaona sifa!!
 
We si ni not enough? Endelea kuwabeba wote na hawatakutosha! Yaani jinsi unavyojibu hapa hata mtoto mdogo atajua unafanya usanii tu, halafu unaona sifa!!

afu not enough we c unajua raha ya malavidavi? We mpe shem huenda anajua kui2mia hiyo nanihii kuliko bwanaako, we mpe 2.
 
Huwa mara kadhaa tunatoka outing na Mr wangu na rafiki yake (shemeji), illa huyu shemeji anatabia ambayo hainipendezi na nimeshamwambia siipendi ila hakomi hata. Huwa tukikaa kwenye meza yeye ananikanyaga miguu kila wakati na jamaa akitoka kidogo analeta vidole vyake mpaka kwenye nanihiiiii. Naogopa kumsemea sasa nifanyeje?

Samahani, ila kwa maelezo yako tu unaonekana SITAKI NATAKA, na ndio maana huyo shemej yako anaendelea kukufanyia hivyo

Sasa siku nyingine akiweka mkono huko ulikosema wala usiutoe, subiri mume wako aje uakute huko huko, halafu umwambie "nilikuwa nataka uone ushahidi kamili baby" ndo utajua..

Watu wengine bwana! unajua sio kila kitu unatakiwa umwambie mwenzi wako, vingine kama hivi ukiwa na msimamo mjinga hawezi kuendelea kukufanyia ujinga huo.
 
Huwa mara kadhaa tunatoka outing na Mr wangu na rafiki yake (shemeji), illa huyu shemeji anatabia ambayo hainipendezi na nimeshamwambia siipendi ila hakomi hata. Huwa tukikaa kwenye meza yeye ananikanyaga miguu kila wakati na jamaa akitoka kidogo analeta vidole vyake mpaka kwenye nanihiiiii. Naogopa kumsemea sasa nifanyeje?


What is this??? analeta hadi kwenye nahihiii ukiwa umetulia tu!... Samahani lakini naona hauko serious na kumkataa.... mpaka kafikisha vidole??? personally sijui nishauri nini....
 
Ni walewale: shemeji kula kaka hayupo. Ungemwambia neno kwa kumaanisha wala acngekusogelea. Lakini unaendekeza.
 
wanawake wa CCM utawajua tu VERY CHEAP
ona sasa umeanza kuhujumu ndoa yako mwenye kwa kucheka na huyo shemeji yako
MVUE GAMBA HUYO la sivyo hako ka-MR kako KATAKUVUA WEWE


Huwa mara kadhaa tunatoka outing na Mr wangu na rafiki yake (shemeji), illa huyu shemeji anatabia ambayo hainipendezi na nimeshamwambia siipendi ila hakomi hata. Huwa tukikaa kwenye meza yeye ananikanyaga miguu kila wakati na jamaa akitoka kidogo analeta vidole vyake mpaka kwenye nanihiiiii. Naogopa kumsemea sasa nifanyeje?
 
teh! Teh! Eti wanawake wa CCM duh! Mkubwa umenichekesha sana, sina mbavu hapa!
 
Back
Top Bottom