barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,324
- 29,586
Huyu jamaa bila shaka akili yake kaifungia pamoja na miguu yake kwenye viatu alivyovaa.Acha usinichekeshe bana!
Huyu jamaa bila shaka akili yake kaifungia pamoja na miguu yake kwenye viatu alivyovaa.Acha usinichekeshe bana!
Mleta uzi ni mmoja wa THINK TANK wa 4UM na bavicha, msimbeze jamani!Usipoteze muda kutoa ufafanuzi kwa watu wa aina hii wanajifanya wajuaji kumbe hakuna..
Hili suala unalichukulia jepesi kama ID yako...think bigHuyu jamaa bila shaka akili yake kaifungia pamoja na miguu yake kwenye viatu alivyovaa.
Si muda mrefu bavicha mtaanza kusema wizara ya afya ihame na hospitali ya Muhimbili, hamuishi vituko!Hili suala unalichukulia jepesi kama ID yako...think big
LOLHuyu jamaa bila shaka akili yake kaifungia pamoja na miguu yake kwenye viatu alivyovaa.
Ndo maana nilihit ID yako maana najua huna hoja boss...Si muda mrefu bavicha mtaanza kusema wizara ya afya ihame na hospitali ya Muhimbili, hamuishi vituko!
Hujanielewa ndo maana umejikita kwenye ID.Ndo maana nilihit ID yako maana najua huna hoja boss...
Siwezi kukuelewa boss as kila mtu mwenye idea au mtizamo tofauti unamregard kama mpinzani au UKAWA. hivyo basi inaonesha hujakomaa na you are true barafuyamoto.Hujanielewa ndo maana umejikita kwenye ID.
Makao makuu ya ccm yako dodoma lakini tuambiane ukweli bila unafiki, ni kiongozi gani mkuu wa ccm anafanyia kazi mbali na Lumumba ukiondoa mikutano ambayo ni kuhudhuria tu!? TZ tuna matatizo mengi na yamesababishwa na nguvu iliyonayo ccm.Serikali ilishaanza kuhamia Dodoma miaka 42 iliyopita , kila wizara ina Nyumba Dodoma pamoja na ofisi ndogo. Mawaziri wote wakienda bungeni hukaa kwenye nyumba za mawaziri.
Kwa taarifa yenu kuna mamlaka ya usitawishaji makao makuu Dodoma( CDA)
Kwa miaka 40 sasa kazi yake ni kupanga miundombinu ya Dodoma.
Serikali ilishaanza kuhamia Dodoma miaka 42 iliyopita , kila wizara ina Nyumba Dodoma pamoja na ofisi ndogo. Mawaziri wote wakienda bungeni hukaa kwenye nyumba za mawaziri.
Kwa taarifa yenu kuna mamlaka ya usitawishaji makao makuu Dodoma( CDA)
Kwa miaka 40 sasa kazi yake ni kupanga miundombinu ya Dodoma.
...Duh, hili la ujenzi limenikumbusha wizara ya maji wamelipandisha li-mjengo lao ubungo pale maghorofa mangapi sijui sasa serikali inahama sijui itakuwaje....Sijui tunaelekea wapi hasa pale dharura za kiutendaji zitakapotokea ambazo zitakuwa zinahitaji kikao cha dharura kati ya Waziri, Katibu Mkuu na CEO wa shirika au Taasisi fulani ya umma au pale Katibu Mkuu atapotaka kuonana na CEO wa shirika fulani la umma kwa maswla ya kawaida ya kikazi huku mmoja yuko Dar na mwingine yuko Dodoma!
Kujenga makao makuu ya kila Taasisi au shirika la umma Dodoma itachukua miaka mingapi na itagharimu shilingi ngapi?
Taasisi zilizoanza au zilizokamalisha ujenzi wa makao makuu yake Dar-essalaam kama vile TCRA zitatakiwa kujenge headquater nyingine Dodoma?
Kipaumbele chetu ni nini hasa?
Sijui tunaelekea wapi hasa pale dharura za kiutendaji zitakapotokea ambazo zitakuwa zinahitaji kikao cha dharura kati ya Waziri, Katibu Mkuu na CEO wa shirika au Taasisi fulani ya umma au pale Katibu Mkuu atapotaka kuonana na CEO wa shirika fulani la umma kwa maswla ya kawaida ya kikazi huku mmoja yuko Dar na mwingine yuko Dodoma!
Kujenga makao makuu ya kila Taasisi au shirika la umma Dodoma itachukua miaka mingapi na itagharimu shilingi ngapi?
Taasisi zilizoanza au zilizokamalisha ujenzi wa makao makuu yake Dar-essalaam kama vile TCRA zitatakiwa kujenge headquater nyingine Dodoma?
Kipaumbele chetu ni nini hasa?
Nendeni mkashike ukuta..Sijui tunaelekea wapi hasa pale dharura za kiutendaji zitakapotokea ambazo zitakuwa zinahitaji kikao cha dharura kati ya Waziri, Katibu Mkuu na CEO wa shirika au Taasisi fulani ya umma au pale Katibu Mkuu atapotaka kuonana na CEO wa shirika fulani la umma kwa maswla ya kawaida ya kikazi huku mmoja yuko Dar na mwingine yuko Dodoma!
Kujenga makao makuu ya kila Taasisi au shirika la umma Dodoma itachukua miaka mingapi na itagharimu shilingi ngapi?
Taasisi zilizoanza au zilizokamalisha ujenzi wa makao makuu yake Dar-essalaam kama vile TCRA zitatakiwa kujenge headquater nyingine Dodoma?
Kipaumbele chetu ni nini hasa?
Wamechoka kuzungusha mikono..sasa wanakuja na ukutaSerikali ilishaanza kuhamia Dodoma miaka 42 iliyopita , kila wizara ina Nyumba Dodoma pamoja na ofisi ndogo. Mawaziri wote wakienda bungeni hukaa kwenye nyumba za mawaziri.
Kwa taarifa yenu kuna mamlaka ya usitawishaji makao makuu Dodoma( CDA)
Kwa miaka 40 sasa kazi yake ni kupanga miundombinu ya Dodoma.
Kwa maana hiyo wewe unashauri makao makuu yaendelee kubaki DSM, au una ushauri gani mkuuSijui tunaelekea wapi hasa pale dharura za kiutendaji zitakapotokea ambazo zitakuwa zinahitaji kikao cha dharura kati ya Waziri, Katibu Mkuu na CEO wa shirika au Taasisi fulani ya umma au pale Katibu Mkuu atapotaka kuonana na CEO wa shirika fulani la umma kwa maswla ya kawaida ya kikazi huku mmoja yuko Dar na mwingine yuko Dodoma!
Kujenga makao makuu ya kila Taasisi au shirika la umma Dodoma itachukua miaka mingapi na itagharimu shilingi ngapi?
Taasisi zilizoanza au zilizokamalisha ujenzi wa makao makuu yake Dar-essalaam kama vile TCRA zitatakiwa kujenge headquater nyingine Dodoma?
Kipaumbele chetu ni nini hasa?