EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Akiwahutubia wananchi wa Tengeru kwa Pole Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, alisema
Juzi nimesikia kuwa mgombea wao (Sioi) katika kikao cha ndani aliomba kujitoa katika kampeni hizi wakamkatalia, maji yameshawafika shingoni sasa aende akagombee ubunge huko Uingereza ndiko wanatoboa masikio".
Tanzania Daima.
Juzi nimesikia kuwa mgombea wao (Sioi) katika kikao cha ndani aliomba kujitoa katika kampeni hizi wakamkatalia, maji yameshawafika shingoni sasa aende akagombee ubunge huko Uingereza ndiko wanatoboa masikio".
Tanzania Daima.