Ernesto Che
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,114
- 293
Wasira wasira hahahahaha aaaah wasira na wewe wa kumnadi mtu hahahaha, inahitaji busara na ushawishi ili kumnadi mgombea sasa we mwenzetu umeazima wapi? CCM kweli kweli jamani hata wasira, da kweli mmeishiwa. Jipangeni na uchaguzi mwingine wa znz mkashindane na mke wenu CUF, hahaha Arumeru mmefulia