Mkuu Sizinga sometimes hizi mambo zinatokea bana..
Mie kinachoniuma ni pale unapofanya 'uungwana' kwa kufikiri demu atauona huo 'uungwana' wako ili akupe credit..
Kinyume chake unakuja kusikia kuwa kamegwa kwenye mazingira ambayo wewe uliyaona kuwa hayakuwa 'fair'..
Binafsi i got the same story like this and when i met the lady next day..she was laughing at me!..nilijiona mdhaifu sana aisee..
Aisee sisi wanawake sometimes tuna matatizo, hivi mtu anakubali kudo na yoyote tu ili mradi chance imepatikana??khaaaa!
umelala na mwanamke usiku kucha hata kukic mjomba ulikwama!!!
usijilaumu,kweli ww n gentleman,sio sifa kuchomeka popote upatapo nafasi,hongera.wsh wanaume wote wangekua na ujasir km wk rather than taking off their pants wherever they fl lyk....guys mbadilike
Du!Mkubwa mimi niwe mkweli kwa masifa uliyoyatoa kwa uyo Duu mimi nisingemsubilisha kiivyo aisee yani ile katoka kuoga tu kingeeleweka kwanza alafu usingizi baadae tena kama vipi kulala siku iyo tunakupa likizo.
lol, dogo huna gemu kabisa sasa unaleta kisingizio cha ujentroman..hahaa..Mmh I like your comment coz umepiga pabaya!! Hii kitu wanaumme wengi huwa inatushinda, tunafungua zipu everywhere possible!
lol, dogo huna gemu kabisa sasa unaleta kisingizio cha ujentroman..hahaa..
lol, dogo huna gemu kabisa sasa unaleta kisingizio cha ujentroman..hahaa..
kwa hio tutumie upeo wako?upeo wako ndo umeishia hapo?unazani kuchomeka kila mahali ndo issue ama ndo rjal?.futa hyo mawazo mgando,evn a man u need to respect urself
caring my azz..ulikosa mbinu za mchezo, ila uchu ulikua nao, #uchu_debe..hehee..aAagh ujue hii kitu imeshatokea, and at that time niliona kama nimelost na nimefanywa vibaya, ingawa by now naona kama vile niliepushwa smthng pale.....umeona eeh....and more some other gentlemen here wameona kwa jicho la tatu kwamba there are lots than enough caring and respecting the gel...ambaye hakunithamini...outputs