Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
Oa i think itakusaidia coa utakuwa na hofu ya NDOA!!!
asioe atamtesa huyo wife wake.
Ajifunze kupiga pu***to. Soon atapoteza hamu na vibinti.
Oa i think itakusaidia coa utakuwa na hofu ya NDOA!!!
we subiri....wakati naongea na wateja unatulia....si unajua waungwana hawataki kiwingu......naomba nimshughulikie mteja tafadhali
ngoja nichukue miwani
preta dia mteja gani tena? Bado naikumbuka ile chifwakaa mbanu maana nilicheka mbele ya bosi mwe. We ni sababu ya mimi kuja arusha lol
Nina mlolongo wa mabinti, mimi sijisifii ila ni handsome kama wadada wasemavyo.
Nina urefu wa futi sita na nchi tatu, kifua kipana kilicho jengwa na mazoezi na nina vijibiashara ambavyo vinanifanya nisikose hela ya vocha.
Tatizo langu ni kwamba nafuatwa sana na mabinti na mimi sina uwezo wa kuwakataa.
Nifanyeje ili nitulie na mmoja tu?
Nina mlolongo wa mabinti, mimi sijisifii ila ni handsome kama wadada wasemavyo.
Nina urefu wa futi sita na nchi tatu, kifua kipana kilicho jengwa na mazoezi na nina vijibiashara ambavyo vinanifanya nisikose hela ya vocha.
Tatizo langu ni kwamba nafuatwa sana na mabinti na mimi sina uwezo wa kuwakataa.
Nifanyeje ili nitulie na mmoja tu?
Nina mlolongo wa mabinti, mimi sijisifii ila ni handsome kama wadada wasemavyo.
Nina urefu wa futi sita na nchi tatu, kifua kipana kilicho jengwa na mazoezi na nina vijibiashara ambavyo vinanifanya nisikose hela ya vocha.
Tatizo langu ni kwamba nafuatwa sana na mabinti na mimi sina uwezo wa kuwakataa.
Nifanyeje ili nitulie na mmoja tu?