Sina ujanja wa kuwakataa wasichana

we subiri....wakati naongea na wateja unatulia....si unajua waungwana hawataki kiwingu......naomba nimshughulikie mteja tafadhali

preta dia mteja gani tena? Bado naikumbuka ile chifwakaa mbanu maana nilicheka mbele ya bosi mwe. We ni sababu ya mimi kuja arusha lol
 
preta dia mteja gani tena? Bado naikumbuka ile chifwakaa mbanu maana nilicheka mbele ya bosi mwe. We ni sababu ya mimi kuja arusha lol

hakyanani vile nakuhakikishia ujio wako itabidi huyu mteja kimuhemuhe asubiri......naomba usiache kuja my dear nafasi yako nitaipanga mbele ili upate view nzuri
 
Nina mlolongo wa mabinti, mimi sijisifii ila ni handsome kama wadada wasemavyo.
Nina urefu wa futi sita na nchi tatu, kifua kipana kilicho jengwa na mazoezi na nina vijibiashara ambavyo vinanifanya nisikose hela ya vocha.
Tatizo langu ni kwamba nafuatwa sana na mabinti na mimi sina uwezo wa kuwakataa.
Nifanyeje ili nitulie na mmoja tu?


Huna uwezo wa kuwakataa eee...! okay, wee subiri tu hadi hapo utakapoupata UKIMWI ndio akili ya kutulia itakujia.
 
Kwa nini uwakatalie bana?! Watoto wakililia wembe we wape. Endeleza undava tu mwanangu mpaka watakapoanza kukukataa wao (wakati huo umebakiza 2kgs!)
 
Nina mlolongo wa mabinti, mimi sijisifii ila ni handsome kama wadada wasemavyo.
Nina urefu wa futi sita na nchi tatu, kifua kipana kilicho jengwa na mazoezi na nina vijibiashara ambavyo vinanifanya nisikose hela ya vocha.
Tatizo langu ni kwamba nafuatwa sana na mabinti na mimi sina uwezo wa kuwakataa.
Nifanyeje ili nitulie na mmoja tu?

Utatulia tu ngoja HIV akukute, utakuja hapa JF ukitafuta dawa jibu hakuna dawa utakuwa mdogooooooooo hivi, endelea kuchimba utachimbwa na ww
 

Attachments

  • hiv-symptoms-1.jpg
    hiv-symptoms-1.jpg
    25.6 KB · Views: 44
Leo umesema hivi.........

Nina mlolongo wa mabinti, mimi sijisifii ila ni handsome kama wadada wasemavyo.
Nina urefu wa futi sita na nchi tatu, kifua kipana kilicho jengwa na mazoezi na nina vijibiashara ambavyo vinanifanya nisikose hela ya vocha.
Tatizo langu ni kwamba nafuatwa sana na mabinti na mimi sina uwezo wa kuwakataa.
Nifanyeje ili nitulie na mmoja tu?


Baada ya muda si mrefu (kama ukiendelea kugonga kila anayekutaka), utasema hivi.......



"Mabinti wote sasa wananikimbia, mimi nalia ule u-handsome kama wadada walivyokuwa wakisema upotea.
Nina urefu wa futi 3 sasa kutoka 6.3, kifua kilochoporomoka huku nikibaki na kg 2 za uzito. Vile vijibiashara ambavyo vilinifanya nisikose hela ya vocha sasa kwishney manake hela zote zinaishia kwenye ARVs.
Tatizo langu ni kwamba nina ngoma"
.


Halafu utakuja tena hapa jamvini utatuuliza tena.....


"Hivi wana JF dawa ya ngoma imepatikana"
?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom