Tuliahidiwa itaisha mwezi wa tatu mkuu lakini ndo naona miyeyusho.Jamn kumbe huku bado haijaisha
Hakutaja mwaka 😁Tuliahidiwa itaisha mwezi wa tatu mkuu lakini ndo naona miyeyusho.
Kama vipi mwaga summary ya kuanzia alipoishia humu tumalizane maana si kwa anachokifanya bwana Singano jrJamn kumbe huku bado haijaisha🤣🤣🤣
Jamaa sijui shida nin?
Muzeee fanya tumalize hii sasa kwann unaivuta hivi na ipo mwisho aroooh.
684 ULIISHIANamalizia wakuu ngoja niangalie niliishia wapi nishushe hata kwa simu tu