Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 2,992
Habari za asubuhi wakuu Nina story fupi ya mtoto wa miaka 8 alifanya nijute kukaa UGENINI lengo la story hii tujifunze na tukemee vitendo visivyofaa kwenye jamii ili kudhibiti matukio ya ubakaji na wazazi tujitahidi kwa malezi Bora. Asanteni
Mwaka 2018 wakati nipo chuo hapa jijini baada kumaliza semester ya Kwanza tulifunga chuo kwa ajili ya likizo baada ya kufikiria Sana sikutaka kurudi home nikapanga nikabadilishe mazingira niende kwa mama mkubwa ambaye anaishi hapahapa jijini maeneo ya kinyerezi ilibid nipige simu home kuwataarifu likizo hii sitarudi
naenda kuishi kwa mama mkubwa mama akanipa usia kidogo nikaishi vizuri ugenini na niache tabia yangu ya kuchagua chakula siunajua wa mama kiafrika maneno mengi
Baada kumaliza process zangu vizuri siku ya jumamosi nilimpigia simu mama mkubwa nakuja kumtembelea kwake alifurahi Sana alisema taarifa zangu za kuja kwake anazo mama alishampigia simu kumpa taarifa
Saa 10 jioni nilimpigia simu mama mkubwa kumpa taarifa nimefika mitaa anayoishi Mana nyumba aliokuwa anaishi nilikuwa sipajui sijawahi kufika kabla alitumwa kijana wa babaj aje kunichukua maeneo hayo
Dereva bajaji: Halo nimetumwa na mama M nije nikuchukue uko sehemu gani
Mimi: Niko hapa kwenye kwenye fremu hizi karibu na kijiwe Cha bodaboda nimevaa form six ya blue na jinsi jeusi
Dereva bajaji: nimeshakuona
Mimi: sawa
Baada ya bajaji kuja Safari ikaanza mwendo dakika 10 tukawa tumefika nje ya nyumba moja kubwa mpya haina fensi na ujenzi ulikuwa unaendelea nikapokelewa na mama mkubwa akiwa kwenye sura ya ucheshi na tabasamu nikasema kimoyoni kumbe mama mkubwa Yuko piece hivi nitaenjoy baada ya kunipokea begi langu nikapelekwadi sebuleni kwa maongezi zaidi.
Mimi: shikamoo mama mkubwa
M mkubwa: marahaba mwanangu za chuo uko
Mimi: Safi tu tunapambana
M mkubwa : mjitahidi kusoma simnaona wazazi wenu tunazeeka Sasa
Mimi: sawa mama ,
M mkubwa: kipindi kile nakuona ulikuwa kadogodogo saiz umekuwa mbaba mkubwa
Mimi: hahaha siku zinaenda mama tunakua na miaka hii inavyoenda haraka
M mkubwa: kweri baba ngoja nikuandalie chakula
Mimi: sawa mama
Baada maongezi marefu na chakula ukaja muda kuwajua niliowakuta pale.
Ngoja niwatambulishe kidogo familia na watu niliowakuta pale mama mkubwa ni mama wa watoto wa 3 wa Kwanza kiume ni mwanajeshi na wa pili kike anasoma chuo hapa jijini na 3 ni wa kiume Yuko nje ya nchi anasomea udaktari pale nyumbani anaisha na kijana mkubwa ni ndugu yetu binti wa kazi na shemeji mke wa Kaka mwanajeshi mke wa Kaka ni mtanga binti flani hivi wa miaka 28 au 30 ni mama watoto 3 wa kike mmoja na kiume wa 2 huyu wa kike ni mtoto nje sio wa kaka.
Baada kuijua familia kidogo ya bi mkubwa, tuendelee wakati tumekaa sebuleni tukiangalia tv yule mtoto kike wa shemeji alikuwa akiniangalia Sana nikapotezea siunajua ugeni nikaoneshwa chumba cha kulala nikaenda kujipumzisha.
Visanga na matukio ndo vinaanzia hapa mtoto wa Kaka wa nje wa miaka 8 ndo tatizo lenyewe
Itaendelea...
NB: Sijataja maeneo usika na nimebadirsha sehemu na kuficha baadhi ya vitu
Mwaka 2018 wakati nipo chuo hapa jijini baada kumaliza semester ya Kwanza tulifunga chuo kwa ajili ya likizo baada ya kufikiria Sana sikutaka kurudi home nikapanga nikabadilishe mazingira niende kwa mama mkubwa ambaye anaishi hapahapa jijini maeneo ya kinyerezi ilibid nipige simu home kuwataarifu likizo hii sitarudi
naenda kuishi kwa mama mkubwa mama akanipa usia kidogo nikaishi vizuri ugenini na niache tabia yangu ya kuchagua chakula siunajua wa mama kiafrika maneno mengi
Baada kumaliza process zangu vizuri siku ya jumamosi nilimpigia simu mama mkubwa nakuja kumtembelea kwake alifurahi Sana alisema taarifa zangu za kuja kwake anazo mama alishampigia simu kumpa taarifa
Saa 10 jioni nilimpigia simu mama mkubwa kumpa taarifa nimefika mitaa anayoishi Mana nyumba aliokuwa anaishi nilikuwa sipajui sijawahi kufika kabla alitumwa kijana wa babaj aje kunichukua maeneo hayo
Dereva bajaji: Halo nimetumwa na mama M nije nikuchukue uko sehemu gani
Mimi: Niko hapa kwenye kwenye fremu hizi karibu na kijiwe Cha bodaboda nimevaa form six ya blue na jinsi jeusi
Dereva bajaji: nimeshakuona
Mimi: sawa
Baada ya bajaji kuja Safari ikaanza mwendo dakika 10 tukawa tumefika nje ya nyumba moja kubwa mpya haina fensi na ujenzi ulikuwa unaendelea nikapokelewa na mama mkubwa akiwa kwenye sura ya ucheshi na tabasamu nikasema kimoyoni kumbe mama mkubwa Yuko piece hivi nitaenjoy baada ya kunipokea begi langu nikapelekwadi sebuleni kwa maongezi zaidi.
Mimi: shikamoo mama mkubwa
M mkubwa: marahaba mwanangu za chuo uko
Mimi: Safi tu tunapambana
M mkubwa : mjitahidi kusoma simnaona wazazi wenu tunazeeka Sasa
Mimi: sawa mama ,
M mkubwa: kipindi kile nakuona ulikuwa kadogodogo saiz umekuwa mbaba mkubwa
Mimi: hahaha siku zinaenda mama tunakua na miaka hii inavyoenda haraka
M mkubwa: kweri baba ngoja nikuandalie chakula
Mimi: sawa mama
Baada maongezi marefu na chakula ukaja muda kuwajua niliowakuta pale.
Ngoja niwatambulishe kidogo familia na watu niliowakuta pale mama mkubwa ni mama wa watoto wa 3 wa Kwanza kiume ni mwanajeshi na wa pili kike anasoma chuo hapa jijini na 3 ni wa kiume Yuko nje ya nchi anasomea udaktari pale nyumbani anaisha na kijana mkubwa ni ndugu yetu binti wa kazi na shemeji mke wa Kaka mwanajeshi mke wa Kaka ni mtanga binti flani hivi wa miaka 28 au 30 ni mama watoto 3 wa kike mmoja na kiume wa 2 huyu wa kike ni mtoto nje sio wa kaka.
Baada kuijua familia kidogo ya bi mkubwa, tuendelee wakati tumekaa sebuleni tukiangalia tv yule mtoto kike wa shemeji alikuwa akiniangalia Sana nikapotezea siunajua ugeni nikaoneshwa chumba cha kulala nikaenda kujipumzisha.
Visanga na matukio ndo vinaanzia hapa mtoto wa Kaka wa nje wa miaka 8 ndo tatizo lenyewe
Itaendelea...
NB: Sijataja maeneo usika na nimebadirsha sehemu na kuficha baadhi ya vitu