Simuelewiii huyu kaka

kigori wa kilwa

JF-Expert Member
Nov 17, 2013
483
148
Happy Easter Jf
Naombeni kuuliza? Hivi unawezaje kuishi na mwanaume ambaye ana tatizo la poor communication? ??? yani anaweza kukaa hata siku tatu asikujulie hali na hata ukipiga simu Mara nyingine hapokei ?? Nilimfatilia na kuhisi ana mwanamke lakini wapi ?? Hana mwanamke na Ilo tatizo sio kwangu tu hata kwa marafiki na ndugu wanalalamika pia , mie mpenzi wake swala hili linaniumiza haswa naombeni msaada jinsi ya kuishi na huyu kiumbe jamani
 
Mtu ambaye yuko moyoni huwezi pitisha siku bila kumjulia hali, Dada muwe mnajiongeza kiakili.
KwA kweli hata mie naona Ila sijui ndio kilema cheke hata ex wake naye alikuwa analalamika kama mie yani swala la simu kwake ni mtihani Ila ukiamua kumnunia basi anajilekebisha wiki moja halafu anaanza tena
 
KwA kweli hata mie naona Ila sijui ndio kilema cheke hata ex wake naye alikuwa analalamika kama mie yani swala la simu kwake ni mtihani Ila ukiamua kumnunia basi anajilekebisha wiki moja halafu anaanza tena
Ulijuaje habari za Ex wake?????

Bado hajapata wakumgusa mtima wake, akimpata hatopitisha siku.
 
Ulijuaje habari za Ex wake?????

Bado hajapata wakumgusa mtima wake, akimpata hatopitisha siku.
Kuna kipindi simu yangu ilialibika akanipa simu yake ambayo alikuwa haitumii nahisi alisahau kufuta hiyo text Ndio nikaona malalamiko ya huyo Dada na sio kwamba nilifanya ufukunyukuuu...
 
Happy Easter Jf
Naombeni kuuliza? Hivi unawezaje kuishi na mwanaume ambaye ana tatizo la poor communication? ??? yani anaweza kukaa hata siku tatu asikujulie hali na hata ukipiga simu Mara nyingine hapokei ?? Nilimfatilia na kuhisi ana mwanamke lakini wapi ?? Hana mwanamke na Ilo tatizo sio kwangu tu hata kwa marafiki na ndugu wanalalamika pia , mie mpenzi wake swala hili linaniumiza haswa naombeni msaada jinsi ya kuishi na huyu kiumbe jamani
Huyo hakutaki wewe sepa dada.
 
Ulijuaje habari za Ex wake?????

Bado hajapata wakumgusa mtima wake, akimpata hatopitisha siku.
Inawezekana kweli bado ajapata mtima wake Ila kwenye mambo mengine mengine yupo perfect tatizo ni Ilo mawasialiano ... sasa najiuliza nimvumilie ??? Nikianza safari nyingine huyo nitakayempata atakuwa na mapungufu yap??? Maana tuna miaka miwili karibia
 
Inawezekana kweli bado ajapata mtima wake Ila kwenye mambo mengine mengine yupo perfect tatizo ni Ilo mawasialiano ... sasa najiuliza nimvumilie ??? Nikianza safari nyingine huyo nitakayempata atakuwa na mapungufu yap??? Maana tuna miaka miwili karibia
Mahusiano pasipo uvumilivu utakuwa unaacha kila siku, hakuna binadamu mkamilifu.

Fuata moyo wako mwisho wa siku wewe wamjua vyema.
 
Happy Easter Jf
Naombeni kuuliza? Hivi unawezaje kuishi na mwanaume ambaye ana tatizo la poor communication? ??? yani anaweza kukaa hata siku tatu asikujulie hali na hata ukipiga simu Mara nyingine hapokei ?? Nilimfatilia na kuhisi ana mwanamke lakini wapi ?? Hana mwanamke na Ilo tatizo sio kwangu tu hata kwa marafiki na ndugu wanalalamika pia , mie mpenzi wake swala hili linaniumiza haswa naombeni msaada jinsi ya kuishi na huyu kiumbe jamani

Nami nakuuliza swali, "Unawezaje kuishi na mwanaume ambaye hakupendi kwa dhati?" Jibu utakalolipata katika swali hili ndio jibu la swali ulilouliza.
 
Back
Top Bottom