Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Yah huyu nae kilaza kweli...wanawake wenzake wanahangaikaga pesa ziwe mikononi mwao bila kujali wanapendanaje...yeye anaweka kwa mwanaume...lol imekula kwake tena atakapojua jamaa huko mbali aliko ana kabinti kabamtoa upweke tena kwa hela za nyumba kubwa anazowekaga.....Endelea kupenda tu na kuweka savings zako; si mumeo bwana!