mgeni10
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,109
- 369
UBaba sio sio kutunga mimba na kuikimbia au kuiacha kama mbwa koko,
Mapenzi ya kweli ni kwa Mzazi aliekua karibu na wewe ktk yote
Kumjua Baba ukubwani ilihali una mtu mwingine ambaye Nafsi yako inaamini ndie Baba yako, Ni kuharibaina siku na kuumizana bila sababu
Huyo kijana naamini baada ya taarifa hii, Hana amani moyoni
ILA MWAMBIE hIVI LILE LINALOMPA AMANI MOYONI NDIO JIBU SAHIHI
Mapenzi ya kweli ni kwa Mzazi aliekua karibu na wewe ktk yote
Kumjua Baba ukubwani ilihali una mtu mwingine ambaye Nafsi yako inaamini ndie Baba yako, Ni kuharibaina siku na kuumizana bila sababu
Huyo kijana naamini baada ya taarifa hii, Hana amani moyoni
ILA MWAMBIE hIVI LILE LINALOMPA AMANI MOYONI NDIO JIBU SAHIHI