- Thread starter
- #61
Kwani alitiwa gerezani kwa kosa gani? I mean what brought about his incarceration?
Kwani una siku ngapi upo hapa nchini Tanzania?
Kwani alitiwa gerezani kwa kosa gani? I mean what brought about his incarceration?
<br />Kwani una siku ngapi upo hapa nchini Tanzania?
<br />
<br />
Kama ni hivyo basi acha aozee lupango tu. Mimi mwenyewe kuna dogo mmoja aliwahi kunichukulia demu wangu chuoni. Nimemweka kiporo na ole wake aingie kwenye anga zangu.
<br />Nasikia alikuwa anaificha kwenye tiGo cmu inyewe Nokia ya tochi
Halafu oohh Kikwete hafanyi kazi, mngemuona Liyumba jela kama si Kikwete?
<br />jamaa anajipendekeza kwa rais ampe huruma ya kusamehewa kwenye sherehe za miaka 50 ya uhuru ambapo idadi kubwa ya wafungwa inatarajiwa watasamehewa na jk ktk maadhimisho ya miaka 50 haijawahi kutokea kwa idadi hiyo!
Duh! Inaonekana umedandia daladala kwa nyuma bila kujua ni la route gani. Soma bandiko la mwanzo kabisa. PoleKwani alitiwa gerezani kwa kosa gani? I mean what brought about his incarceration?
<br /><font size="3">Hivi Jamani huyu Liyumba hukumu yake inahusishwa vipi na Kikwete kama siyo kumchafua tu kikwete!! Hili swala la kusema Visasi ni utasa wa akili, inaonekana hata RA leo akikamatwa mtasema Kikwete anafanya visasi?! Watanzania sijui tutaamka lini? akili zetu zinafanyakazi kinyume ndio maana mtu anaweza kuongea bila aibu kitu kama hiki.<br />
<br />
Makosa ya Liyumba yapo wapi na takriban mwaka mzima yamezagaa magazetini na hukumu yake ipo badala ya mtu kutafuta aisome na kubaini wapi alikosea na wapi alicheza vizuri katika kujenga hoja zake mahakamani! Vichwa vimeamua kujadili kinyume kabisa kuwa hana kosa basi visasi vya Kikwete! Duh bado tuna safari ndefu sana maana hata hatujui twendapo.</font>
so jamaa kabakiza miezi saba tu atoke
<br />
<br />
unachafua muelekeo wa MJADALA ARAFAT,hata yassir hakuwa hivyo
<br />
<br />
For a bimester, during which period I am hugely snowed under.
i see kikwete ni MCHAPAKAZI hata yule jamaa aliyemdondosha kipindi cha kampeni 2005. hajatoka mpaka leoHalafu oohh Kikwete hafanyi kazi, mngemuona Liyumba jela kama si Kikwete?
Hapa kuna tatizo na magezeza zetu. Mfungwa ana miliki simu hawajui. Hapa kuna usanii. Wachunguzwe vizuri.
Duh! Inaonekana umedandia daladala kwa nyuma bila kujua ni la route gani. Soma bandiko la mwanzo kabisa. Pole
Magereza ya wapi yanaruhusu simu? Labda ya kuzimu! Kama ni ulaya na Marekani simu ni marufuku,mfungwa anaruhusiwa kuongea na simu kwenye sehemu maarumu kwa rukhsa toka kwa maafisa wa magereza,tena simu zenyewe za magereza!Magereza ya Africa bana hata simu marufuku?