Pendael laizer
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 958
- 101
Kongosho upo juu na ndio maana huyu mrembo anakufuatilia kia aina. Tafuta jins ya kumpata ili uka...
Sijui ni kwa nini nikiona thread zake nachukia, nikiona alipochangia natamani nifute coments zake hlf huyu mtu simjui hanijui lkn hata sielewi kwa nini simpendi.
Najua mpo wengi wenye chuki na watu/mtu humu JF hebu tueleze nani humpendi humu JF na nani unampenda? Hata thread zake unazipenda. Mimi nampenda EXCELLENT.
Kongosho upo juu na ndio maana huyu mrembo anakufuatilia kia aina. Tafuta jins ya kumpata ili uka...
kumbe wakusoma ni mrembo?nilijua ni male(gender)!!but mh hata huyo kongosho mwenyewe haeleweki jinsia yake...usanii mtupu humu
Kongosho ndie nani
Sijui ni kwa nini nikiona thread zake nachukia, nikiona alipochangia natamani nifute coments zake hlf huyu mtu simjui hanijui lkn hata sielewi kwa nini simpendi.
Najua mpo wengi wenye chuki na watu/mtu humu JF hebu tueleze nani humpendi humu JF na nani unampenda? Hata thread zake unazipenda. Mimi nampenda EXCELLENT.
Afu na mie sikupendi hata kidogo. Kwaresma hii nimefunga kuongea na wewe.
Hiyo bio oil, mweeh! Ndo m'badala wa naniliu? Ngoja mwezi wa toba uishe basi.