Mimba changa zilizopatikana Valentine day watoto wake huzaliwagwa Novemba zinakujaga kituko sana. Pole ndugu itakutesa itoe uibebe mwezi wa sita kipindi cha kula mahimdi mabichi itakufanya upende kila mtu
sijui kapotelea wapi?
Au kaenda rudisha fomu za chuo?
Tobaaaa, afu mie my b.day is on 14th of NovMimba changa zilizopatikana Valentine day watoto wake huzaliwagwa Novemba zinakujaga kituko sana. Pole ndugu itakutesa itoe uibebe mwezi wa sita kipindi cha kula mahimdi mabichi itakufanya upende kila mtu
Usijichoshe Asikuchoshe!!
Au siku ile juzijuzi wakati unawachoma wagojwa Clisterpan, labda ilipofika zamuye ulimruka nini ?
Labda !
Ulijiongeza ukaona yeye "wa kuridi " uje umdunge usiku kisha ukamsahau!
Hebu sema nae kama sababu ndo hiyo basi huisha madungaji , mdunge na kama atakuanao wenzake wanaojisikia kudungwa we dunga tu .
Tumekuteua.
mi nampenda kongosho
ana ngozi ngumu
sindano ikataka kuvunjika
eti wa kudunga na mkuki afu unapaka dawa mbele
Kumbee ndo maana !
Alafu mbona katulia hivi ? Au ushamdunga kimyakimya nini ! Haya nakukumbusha
sindano moja , kwa mgonjwa mmoja.
I see...!!Sijui ni kwa nini nikiona thread zake nachukia, nikiona alipochangia natamani nifute coments zake hlf huyu mtu simjui hanijui lkn hata sielewi kwa nini simpendi.
Najua mpo wengi wenye chuki na watu/mtu humu JF hebu tueleze nani humpendi humu JF na nani unampenda? Hata thread zake unazipenda. Mimi nampenda EXCELLENT.
We naye unezidi kiherehere jana vita na Excellent leo humpendi Kongosho na Kesho
Utataka kumuua nani ..?
Chuki zako zakijinga kweli ..
Utamchukia Vipi mtu bila sababu mbaya
Zaidi hata haumfahamu .. em punguza ku
Tafuta umarufu kwa nguvu ..
Sijui na mimi nikuanzishie sredi!!!...konnieeeeeeee pole madam/sir kwa unwarranted attack!
Btw kuna mtu namchukia humu maana ana tabia za kunipiga makonzi,tena anikome,boooo!
Mimi nampenda EXCELLENT.
Bangi si mchicha!Excellent huyu ulietangaza vita nae juzi hapa....?.