Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,164
muanzishie basi
afu tum...... Mpaka basi
afu tum...... Mpaka basi
Sijui na mimi nikuanzishie sredi!!!...
Sijui na mimi nikuanzishie sredi!!!...
dah, yaani huyu ananifanya naongea maneno nlofunga
ngoja mwezi uishe uone navyokuchukia.
Usijichoshe Asikuchoshe!!
Hahahaha...Kongosho,muanzishie basi
afu tum...... Mpaka basi
Kuweka dhambi akiba hairuhusiwi, ni foul play! Utanyimwa mkate wa kila siku,ohoo!
Hahahaha...Kongosho,
Yaelekea unapenda ligi sana! Ngoja leo tumtulize...kwaresma hii!
Kongosho inaonekana una damu ya kunguni mbona hupendwi?
hapo kuna kitu,si unaona hata sio mtu wa reply backI neva thot kuna mtu hampendi Kongosho!
S/he is so a ladies/man's person.... Au wa kusoma ndio tcehnique ya kujulikana? Dah!
Sijui ni kwa nini nikiona thread zake nachukia, nikiona alipochangia natamani nifute coments zake hlf huyu mtu simjui hanijui lkn hata sielewi kwa nini simpendi.
Najua mpo wengi wenye chuki na watu/mtu humu JF hebu tueleze nani humpendi humu JF na nani unampenda? Hata thread zake unazipenda. Mimi nampenda EXCELLENT.
Nafurahi hakuna ninayemchukia.
kuna lecturer wangu mmoja alitamani dada tuliyekuwa naye group moja wakati wa rotation za wodini,jamaa akawa anamtwanga maswali magumu yule dada na akikosa anamwandama zaidi. Yule dada akajiona hopeles ikabidi aanze kutengeneza ukaribu na dr,baada ya muda tukasikia jamaa amekula mzigo. Ukimpenda mdada mzuri mshushe hadhi kwanza,atasogea mwenyewe. Ndo principle jamaa anataka aitumie.
Are you pregnant?Sijui ni kwa nini nikiona thread zake nachukia, nikiona alipochangia natamani nifute coments zake hlf huyu mtu simjui hanijui lkn hata sielewi kwa nini simpendi.
Najua mpo wengi wenye chuki na watu/mtu humu JF hebu tueleze nani humpendi humu JF na nani unampenda? Hata thread zake unazipenda. Mimi nampenda EXCELLENT.