SIMBACHAWENE: Sikufumaniwa

bila live jamaa alifumaniwa akiwa na mke wa afande, kwa sabu ukisikiliza maelezo ya RPC wa Singida, Mmiliki wa Hoteli na Mzinzi mwenyewe.hapo unapata picha kamili
 
Mimi naogopa kusema kuwa siasa maana yake ni kuropoka hata usichokuwa na uhakika. namsikitikia mheshimiwa Simbachawene, kweli wamemsingizia, ila najiuliz KAratu kuna umbali gani kiasi cha kumlazimu kulala Hotelini singida, hiyo hoteli aliyolala Mheshimiwa inaitwa Aqua, sababu za msingi za kulala pale kwa safari hiyo siioni unless alichelewa kuondoka dodoma, lkn toka kikao cha asubuhi bungeni hakuwepo, labda tena alikuwa na majukumu mengine. kwa nin aengeneze mazingira ya kufumaniwa. hili moja. lkn pia kwanin amsemee Mheshimiwa Lisu mbunge wa viti maalumu kuwa ndio atakuwa kaeneza huo anaousema yeye kuwa ni uongo. au ndio sifa ya kuwa mwanasiasa hii sasa kuwa lazima uwe na uwezo wa kuropoka pale upendapo. lakini tatu taarifa hii kuna mtu alijaribu ku hijack, polisi msemaji wa singida kuwa hakukuwa na tukio kama hili pale aqua, me nafikiri kama alikuwa hajui angeweza kuwaambia waandishi wa habari hebu nipeni muda nilifuatilie alafu akazima simu asipatikane tena. isingemgharimu hata. huu sio uwajibikaji. mheshimiwa hawezi kukubali kwanza naye anafamilia ambayo ni lazima ailinde kwa namna yoyite ile, pili yeye ni public figure, hii nayo lazia ailinde kwa gharama kubwa sana. lakini pia kwa mumsingizie yeye asiwe mtu mwingine. basi kama ni hivyo, PR yake kwa jamii inaoyokuwa ayo wakati huo si nzuri.
 
CHADEMA wanahusika vipi na fumanizi hili mkuu?
Tutajuaje kama Simbachawene kanunua media pamoja na idara ya usalama kuugeuza ukweli kuwa uwongo?

pesa!pesa kitu kingine,ndio maana mimi husaka hela kwa nguvu zote,dah!...hapo mwenye mke kapewa fungu fastar,alafu kafyata mdomo wakati wif kaisha lambwa,chezea hela wewe
 
Hivi CDM mnashindwa nini kumuambia dada yake Lissu aliyenunuliwa vinywaji na Lion of wene pale gesti aje awathibithishie?
 
[h=2]MEMBER OF PARLIAMENT CV[/h]
GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1350.jpg
First Name:George
Middle Name:Boniface Taguluvala
Last Name:Simbachawene
Member Type:Constituency Member
Constituent:Kibakwe
Political Party:CCM
Office Location:P.O.Box 12, Mpwapwa
Office Phone:+255 784 764392
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:gsimbachawene@parliament.go.tz
Member Status:Current Member
Date of Birth5 July 1968
EDUCATION
School Name/LocationCourse/Degree/AwardStart DateEnd DateLevel
Pwaga Primary School, MpwapwaPrimary Education19781982PRIMARY
Mahomanyika Primary School, DodomaPrimary Education19831984PRIMARY
Mazengo Technical Secondary SchoolO-Level Education19851988SECONDARY
Arusha Technical CollegeFull Technician Certificate (TFC)19891993CERTIFICATE
Open University of TanzaniaLLB20012005GRADUATE
London, UKWestminster Parliamentary Practice & Procedures20102010CERTIFICATE
London, UKFunnctions&Procedures of the Westminister Parliamentary Oversight Committee20072007CERTIFICATE
EMPLOYMENT HISTORY
Company NamePositionFrom DateTo Date
The Parliament of TanzaniaMember - Kibakwe Constituency20052015
Future World Vocational Training CentreTeacher19971998
Muzdalifa Islamic Charitable Organisation (Dispensaries)Managing Director19972000
Urafiki Bus Services, DodomaWorkshop Manager and Transport Officer19951997
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/LocationPositionFromTo
Chama Cha Mapinduzi , CCMMember of District Political Committee20022005
Chama Cha Mapinduzi , CCMChairperson - UVCCM - Arusha Technical College1990
PUBLICATIONS
DescriptionDate
G. Simbachawene: Necessity of Party Sponsored Candidates as Opposed to Private Candidates and Demands of Democracy in Tanzania - Judicial Survey, Open University of Tanzania.2005
G. Simbachawene: Necessity of Party Sponsored Candidates as Opposed to Private Candidates and Demands of Democracy in Tanzania - Judicial Survey, Open University of Tanzania.2005
G. Simbachawene: Necessity of Party Sponsored Candidates as Opposed to Private Candidates and Demands of Democracy in Tanzania - Judicial Survey, Open University of Tanzania.2005
G. Simbachawene: Necessity of Party Sponsored Candidates as Opposed to Private Candidates and Demands of Democracy in Tanzania - Judicial Survey, Open University of Tanzania.2005




KOS

KOSA VITU VYOTE SIO ELIMU,
JAMAA NI KILAZA HANA HADHI YA UWAZIRIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
kwi kwi kwiiiiiiiiiiiiii
 
Simbachawene alifumaniwa, na picha alipigwa. wasi wasi wangu ni kwamba labda kawahonga mpaka waliompiga picha hahaaaaaaaaaa!!!!!!!!!
Mi nasubiri gazetu la uwazi tutacheka sana!

Nilisema jana kwenye thread ya Tumaini Makene kwamba tusishangae Simbachawene ataibuka na sababu za kisiasa na kwamba yeye hahusiki. Corrupt system suppresses justice and truth. Lakini haki lazima itafutwe na yule anayenyimwa.
 
Hii wizara ya nishati na madini ina nini na manaibu wake?
Malima - Morogoro
Chawene - Singida

Wakuu mbona mnatuchanganya? Ukweli uko wapi? Mbona tuliambiwa hapa kapigwa panga lakini kumbe mzima. Au kajiunga kama saibogi? Kama tunaendelea kumshambulia, basi topiki ibadirike. Kutoka ya kufumaniwa iwe umalaya. Hii ya kufumaniwa imepoteza nguvu ya ushahidi baada ya habari kupungua uzito kwa kukosa uthibitisho wa jeraha la panga.
 
Katika michango yote hilo la yeye kulala hotelini bila sababu; imenifanya niamini hizi tuhuma. Kama ana shangingi na safari ni fupi kwa nini aliamua kulala Hotelini????? Sawa na mtu awe anaenda Dodoma aamue kulala Moro, si bora angebaki Dar aondoke asubuhi kama kachelewa. Kuna kitu hapa.
 
yaani hii tanzania ni zigzag hapo tukio ni limoja lakini maelezo ni matatu tofauti na tukifatilia kwa mlinzi nae atatoa maelezo yake tofauti

Rule of the jungle. Mwenye nguvu hutawala kwa lolote analofanya hakuna wa kumpinga. Angalia inconsistencies katika maelezo zinakaribisha maswali mengi sana.
 
“ Tulipofika Singida nilimwoa Simbachawene nimwita jina, alitufuata na kutununulia vinywaji hapo hotelini,” alisema Lissu na kuongeza;
kelele nyingi mafisadi pesa za wizi ila kunyishwa pombe kwa pesa hizo si tatizo,yani chadema mulimuita wenyewe awape ofa ya bua, kumbe kwenye vyombo vya habari mnawakashifu mkiwa nao mnawaramba miguu siasa kwa africa ni vuvuzela tu!
 
Wakulaumiwa sio Simbachamwene bali ni Jakaya kwa sababu wote ni vilaza tu. what a waste, yeye alikuwa anafuata nyayo tu za boss wake.
 
Hapo kumzushia mulibugi,pombe ya ofa mulikunywa mulirudi guest mmelewa na mkazusha habari isiyo ya kweli!
Chadema oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mods. wameuondoa.........!!
NAIBU Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene,ameibuka na kukanusha vikali uvumi ulioenea jana kuwa amefumaniwa na mke wa mtumjini Singida usiku wa kuamkia jana na kujeruhiwa mkono kwa kisu.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Karatu jana jioni,Simbachawene ambaye pia ni Mbunge Kibakwe (CCM) mkoani Dodoma, alisema habarihizo ni uongo na kudai kuwa zimeenezwa na baadhi ya wabunge wa Chademaaliokutana nao mjini Singida jana wakati akiwa njiani kwenda msibani Karatu.

Alisema kuwa katika hoteli aliyofikia, kuna mtu alifumaniwaakiwa na mke wa askari na kufafanua kuwa watu walizua jambo hilo kwa kuwa nayealilala katika hoteli hiyo.

"Ni uzushi tu walidhani kuwa mimi nimefumaniwa, ukweli nikwamba jambo hilo halijanitokea. Mimi nilifika hapa jana (juzi) nikitokeaDodoma kuelekea Karatu kuhudhuria msiba wa shemeji yangu," alisemaSimbachawene.

Aliwataja watu wanaodaiwa kueneza uvumi huo hizo kuwa niwanachama wanane wa Chadema akiwemo Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chama hicho,Christina Lissu.

"Baada ya kufika Singida nilikwenda katika baa moja nakuwakuta wabunge wa Chadema na baadhi ya wanachama, nilipata kinywaji na kurudihotelini kulala," alisema Simbachawene.

Huku akivua shati kuwaonesha waandishi wa habari kwambahakukatwa mapanga mikononi kama ilivyodaiwa, alisema kuwa alipoamka asubuhindipo alianza kusikia habari kuwa amefumaniwa na mke wa mtu.

Awali taarifa kutoka Singida zilizowekwa pia kwenye mitandaoya kijamii zilidai kuwa Naibu Waziri huyo alikumbwa na mkasa huo jana alfajiri.

Tukio hilo ambalo inaelezwa kuwa lilitoka majira ya saakumi, baada ya taarifa hizo kumfikia mwenye mke, ilimlazimu mmiliki wa hotelihiyo kutoa taarifa Polisi ili kuzuia maafa zaidi

Uvumi huo ulidai kuwa baada ya taarifa hizo, iliwalazimuaskari Polisi kwenda katika hoteli hiyo ili kumuokoa Simbachawene, ambayetayari alikuwa amejeruhiwa mkono kwa sime na askari huyo mwenye mke.

Mara baada ya purukushani hizo katika eneo hilo Naibu Wazirihuyo alidaiwa kwenda kutoa taarifa katika kituo cha Polisi mkoani Singida,ambapo ilidaiwa kuwa katika maelezo yake aliandika jina la Josephat Josephbadala ya kutumia jina lake halisi.

Hata hivyo, Mbunge Christina Lissu, alisema anashangazwa nataarifa za yeye kuhusishwa kueneza uvumi huo.

Alisema walikutana na Naibu Waziri huyo, katika hoteli hiyo,wakiwa wanatoka mkoani Tabora katika kesi na wabunge wa Chadema, ConchestaRwamlaza, Philipa Muturano na John Mrema ambaye ni Mkurugenze wa Bunge naHalmashauri ya chama hicho.

" Tulipofika Singida nilimwoa Simbachawene nimwita jina,alitufuata na kutununulia vinywaji hapo hotelini," alisema Lissu na kuongeza;

"Hata tulipofika hoteli, baada ya muda tukasikia kutoka kwammiliki wa hoteli akisema kuna watu wanataka kumharibia biashara. Tulipomuulizakulikoni? Akasema kwani hamna habari si mmewaona Polisi wakati mnaingia hapa,huku akisema kuna kigogo wa Serikali amefumaniwa na mke wa askari."

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Linus Sinzumwaalipoulizwa na Mwananchi Jumapili alisema hakuna tukio kama hilo lililotokeamjini Singida wala mahali popote katika mkoa huo.

"Huo ni uzushi tu, hakuna tukio hilo mjini Singida na walasijasikia taarifa zozote za aina hiyo kutoka maeneo mengine mkoani hapa,alisema Sinzumwa.

MY TAKE:
Kweli Pesamwanaharamu! Uongo unaweza kugeuzwa kuwa ukweli na ukweli kuwa uwongo!
Kamanda wa Polisi ndiyo katuchanganya kabisa. Simbachaweneamekiri kuwa ni kweli tukio lilitokea katika hoteli hiyo, lakini lilimhusishamtu mwingine, huku RPC anatuambia hakuna tukio kama hilo!
Au ndio ukweliumeuzwa?
 
chama chetu kina wazinzi wengi, yaani kuanzia mwenyekiti mwenyekiti wetu. Na mbaya zaidi kufumaniwa kwetu ni ujiko wakati nchi nyingine kufumaniwa ni kashfa kubwa ya kukufanya ujiuzulu

nani alijihudhuru; Zuma?!Beluscon?!, Bill?!
 
Nilisema jana kwenye thread ya Tumaini Makene kwamba tusishangae Simbachawene ataibuka na sababu za kisiasa na kwamba yeye hahusiki. Corrupt system suppresses justice and truth. Lakini haki lazima itafutwe na yule anayenyimwa.

Askari wa watu yupo lindoni mbu wakimnyonya damu, huku Mheshimiwa anamyonya mkewe. Yaani askari kanyonywa kote, baadaye katulizwa kwa fungu la kukata!
Pesa mwanaharamu!
Wakapimane afya, hawa wakubwa vicheche sana
 
Je huyo Christina Lissu ambaye ni mbunge wa kuteuliwa naye ana uhusiano na Tundu Lissu?kama jibu ni ndio basi CDM itakuwa ni sawa na magamba ambao wanabebana wao kwa wao,
 
Watu mnalazimisha vitu hata visivyolazimishika. Mtu ameshasema na kukanusha kuwa hajafumaniwa lakini mijitu kwa kukosa akili bado inaendeleza hadithi tu.
 
Back
Top Bottom