Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Fisi-Chawene. Lol!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA wanahusika vipi na fumanizi hili mkuu?
Tutajuaje kama Simbachawene kanunua media pamoja na idara ya usalama kuugeuza ukweli kuwa uwongo?
kweli ujinga ni mzigo....hivi kufumaniwa kwa FISICHAWENE CHADEMA inahusikaje? Hivi mlitegemea aseme "ndiyo nilifumaniwa?
WENZAKO WAMEANZA UKUBWANI KUONGEA KWA KUTUMIA MASABURI, WE ULIANZA UTOTONI??? kweli watumwa wa chama cha machangu ni wengi, na we mmoja wao!
Huyu jamaa namfahamu sana ana baa yake pale vingunguti ni malaya kishenzi,kwakweli mimi celewi huyu kikwete anawatoa wapi hawa mawazilri wake.huyu jamaa hakufaa kuwa waziri kabisa hawa usalama wa taifa wanamdanganya sana president>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Tungeona pia hiyo picha ya jana alipowavulia shati waandishi wa habari.Toka jana unaona limetokea, ushahidi wa maneno ukawa kapigwa panga la mkono, leo Simbachawene anasema jana alikuwa Karatu na kawavulia shati muhakikishe hakuna alipokatwa na panga wala kiwembe, sasa tuamni uzushi bila ushahidi?
Weka ushahidi kama unao. Magwanda mmezowea kupakaza na kusema uongo na majungu. Aliyeleta ile mada humu kwa mara ya kwanza ajitokeze na kujitaja na akatowe ushahidi vyombo vya habari, anaogopa nini? na kama ni mkweli kwanini anajificha nyuma ya uongo?
Tungeona pia hiyo picha ya jana alipowavulia shati waandishi wa habari.
Pigo lingine kwa chadema, uongo na uzushi ndio uliowajaa vinywani mwao.
jamani waandishi kawavuli shati wamemuona! mbona bado mnang'angania.
Hivi yule wa Nashera alizushiwa kuibiwa na CUF eeh?
Poleni sana. Nilitegemea aseme ni kweli alifumaniwa na fulani bin fulani!